MONALISA HOFU YA JUJU
![](http://api.ning.com:80/files/O0rRt4kCpspq-gP5WwxaSDiMN-gP*mkRT1yv8owy54gvyE3n3ZMtSN9WW-xTe4SuBqYqNVwt2gFre7OGiPcC2jJoZjWkjRhZ/mona.jpg?width=650)
Stori: Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo, Yvone Cherry ‘Monalisa’ amesema anaogopa kuweka wazi mambo yake kwa kuhofia kupigwa juju hivyo anaishi kwa siri. Yvone Cherry ‘Monalisa’. Akipiga stori na paparazi wetu, Monalisa alisema amejifunza maisha ya usiri na ndiyo maana huwa haaniki hata tarehe, mwezi au mwaka wa kuzaliwa kwani watu wabaya hutumia nafasi hiyo kukuangamiza. “Asikudanganye mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen21 Jan
Only non-juju believers can tackle superstition
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hlBnt738bkwEyosXaP1DIwFGfOPbqWfQf*uW30sYTl9QKObn6kcROk-JbNZyTYRX6BRkH0s4M29nxc5*XP9izhsOQj*qPVUN/mona.jpg)
MONALISA AFANYIWA SHEREHE!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*od7iuXgDCB7ZjTMnU7bISoatZFrAdh1-DtHhd8-zKBIDiK2z44cgSKCBPqK9MwMc0pYnyC5keYmAf4ADjgwzR/Monalisa.jpg)
MONALISA: MIMI SI GUBEGUBE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XgjSFOVQU1fRQvjy9NB9n6SR37qWkF6I94akZoOe5vXCyxMJKVnROE0IjOO9ADDN3hZxAgJPgG58ZY3jqnOzfmsz/mona.jpg)
MONALISA AMWANDALIA TYSON SAPRAIZI
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Monalisa awapasha wanaomzulia mabaya
MUIGIZAJI nyota wa filamu nchini, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ ambaye aliwahi kuwa mke wa marehemu George Tyson, aliyefariki dunia kwa ajali ya gari wiki kadhaa zilizopita, amefunguka kupitia mtandao wa Instagram...
10 years ago
Bongo Movies30 Jul
Monalisa :Wasanii Wanajiachia Sana
YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji wa kike katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kuwaambia baadhi ya wasanii katika fani ya uigizaji kushindwa kulinda miili yao na kujiachia kwa kunenepa na kupoteza muonekano wao jambo ambalo linapoteza nafasi zao katika sinema.
“Sisi wasanii wa filamu kwa Bongo hatuwezi kabisa kulinda muonekano wetu kimaumbo msanii akikubalika tu anajiachia mwili huo, vijana wadogo tu kuna wakati unashindwa umchezeshe kama binti au mama mtu mzima, lakini...
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Monalisa: Mimi Sio Gubegube
Mwigizaji mkongwe wa filamu hapa Bongo, Yvonne Cherly ‘Monalisa’ (33) amesema kuwa yeye siyo gubegube kwani alishawahi kukaa ndani ya ndoa lakini sasa ameamua kutulia.
Akipiga stori mbili-tatu na Gazeti la Uwazi, Monalisa alisema kuwa hata kama akiamua kurudi upya kwenye ndoa anaweza na kutilia msisitizo kuwa mwanaume atayemuoa lazima atambue kuwa anayemuoa ni Yvonne Cherly na si Monalisa kwani jina hilo litakalokuwepo kwenye cheti cha ndoa.
“Mimi si gubegube, nikiamua kurudi na kufunga...
10 years ago
Bongo Movies13 Jan
Monalisa: Taratibu tunatoboa kimataifa
Muigizaji wa filamu hapa Bongo, Yvone Cherry maarufu kama Monalisa, amesema kuwa milango ya kufanya kazi za filamu kimataifa imeanza kufunguka, akiwa tayari na project aliyofanya na timu kutoka Marekani, Daddy's Wedding itakayotoka Februari 14.
Monalisa amesema kuwa, mbali na kazi hii, ana project nyingine na timu kutoka UK kati ya nyingine ambazo zinaonesha kuwa taratibu sanaa hii imeanza kuvuka mipaka kuelekea kule kunakotakikana,.
Vilevile Star huyu wa filamu akaelezea matamanio yake ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa53rZqvR89Gm240TVDotouGiYZb-Iv7sRnpWvR4RqRVi14F-qZb-4-*qSLbJGX5yIn67FsbX2h*fZzLlkkrKvj7/1.jpg?width=650)
MONALISA: NITAOLEWA MWEZI DESEMBA