Monalisa :Wasanii Wanajiachia Sana
YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji wa kike katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kuwaambia baadhi ya wasanii katika fani ya uigizaji kushindwa kulinda miili yao na kujiachia kwa kunenepa na kupoteza muonekano wao jambo ambalo linapoteza nafasi zao katika sinema.
“Sisi wasanii wa filamu kwa Bongo hatuwezi kabisa kulinda muonekano wetu kimaumbo msanii akikubalika tu anajiachia mwili huo, vijana wadogo tu kuna wakati unashindwa umchezeshe kama binti au mama mtu mzima, lakini...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies05 Nov
Soko Haliuliwi na Wasanii Wakongwe- Monalisa
YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa si kweli kama soko la filamu linauliwa na wasanii wakongwe au ambao wapo muda mrefu bali kuna changamoto nyingi.
kweli kama wasanii wakongwe kuwepo katika game ndio wanaua soko la filamu, toka nakua nimekuwa nikisikia wasanii kama Angelina Jolie ana filamu bado zinauza, kwangu wagombea wa Urais wana deni la kulipa,”anasema Monalisa.
Monalisa anaenda mbele zaidi kwa kusema kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
WASANII CLOUD, RIYAMA, MONALISA NA WASTARA WALA SHAVU UK
10 years ago
GPLAY: WASANII BONGO WANAWANUFAISHA SANA WASAUZ
11 years ago
GPLSuma Mnazaleth: Wasanii Bongo tunanyonywa sana
9 years ago
Bongo519 Nov
Tunaumia sana tunapoona wasanii wakifanya video zao South – Gentriez
![10853047_1632844680301371_2030262379_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10853047_1632844680301371_2030262379_n-300x194.jpg)
Mtihani mkubwa walionao wasanii wachanga ni kufikia level za wasanii waliotangulia ambao kwa sasa wengi wao wamekuwa wakifanya video za gharama kubwa na waongozaji wa nje ya Tanzania.
Rapper wa Arusha, Gentriez amesema wasanii wengi wamekuwa wakiumia kuona wenzao wakitengeneza video kubwa zinazochezwa kwenye video vya runinga vya kimaitafa wakati wao hawana uwezo huo.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Gentriez alisema wasanii wengi hawana uwezo hata wa kumlipa Hanscana kufanya naye...
9 years ago
Bongo526 Aug
Nikiwa mbunge msinitegemee sana kuongelea matatizo ya wasanii — Professor Jay