Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunaumia sana tunapoona wasanii wakifanya video zao South – Gentriez

10853047_1632844680301371_2030262379_n

Mtihani mkubwa walionao wasanii wachanga ni kufikia level za wasanii waliotangulia ambao kwa sasa wengi wao wamekuwa wakifanya video za gharama kubwa na waongozaji wa nje ya Tanzania.

10853047_1632844680301371_2030262379_n

Rapper wa Arusha, Gentriez amesema wasanii wengi wamekuwa wakiumia kuona wenzao wakitengeneza video kubwa zinazochezwa kwenye video vya runinga vya kimaitafa wakati wao hawana uwezo huo.

Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Gentriez alisema wasanii wengi hawana uwezo hata wa kumlipa Hanscana kufanya naye...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz atoa sababu za wasanii wa Tanzania kutumia models wa nje kwenye video zao

Ommy na model wa ndagushima

Ommy Dimpoz ni kati ya wasanii wa Bongo ambao wameshoot video zao kadhaa nje ya Tanzania kwa kutumia waongozaji pamoja na video models wa nje.

Ommy na model wa ndagushima
Ommy Dimpoz na model wa ‘Ndagushima’ Sofia Skvortsova

Wengi wanaamini upo uwezekano wa wasanii kuamua kusafiri na models kutoka nyumbani kama ambavyo husafiri na dancers wao kwenda kushoot video nje, lakini Ommy Dimpoz ana sababu za kwanini hushindwa kufanya hivyo.

“Mara nyingi models wa nje wako proffesional wanaweza kucheza character zote ambazo...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Rapper Gentriez azungumzia alivyowashirikisha Ben Pol na Godzilla

12224498_1632535297010151_1264875697_n

Mtazame rapper wa Arusha, Gentriez akiongelea kuwashirikisha Ben Pol na Godzilla kwenye wimbo wake mpya ‘Nimempata.’

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

CloudsFM

Wasanii wakifanya yao kwenye jukwaa la Jamhuri Dodoma #TanzaniaNaiamini

Diamond Platnumz ni mmoja ya wasanii ambao kiukweli walifanya show kali sana, uwanja mzima ulikuwa full kelele kinoma noma  yan wasanii zaidi ya 50 wakiwemo Bongo Movie walifanya yao... Ashlay...

Mh. Temba na Chegge

Diamond

Diamond Diamond na Martin Kadinda

Godzillah...

Madee na Raymond

Madaee...

Adam Mchovu....

Msami Beibyyy...

Shilole...

Wasanii wakiimba kwa pamoja....

 

10 years ago

Bongo Movies

Monalisa :Wasanii Wanajiachia Sana

YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji wa kike katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kuwaambia baadhi ya wasanii katika fani ya uigizaji kushindwa kulinda miili yao na kujiachia kwa kunenepa na kupoteza muonekano wao jambo ambalo linapoteza nafasi zao katika sinema.

“Sisi wasanii wa filamu kwa Bongo hatuwezi kabisa kulinda muonekano wetu kimaumbo msanii akikubalika tu anajiachia mwili huo, vijana wadogo tu kuna wakati unashindwa umchezeshe kama binti au mama mtu mzima, lakini...

 

10 years ago

GPL

AY: WASANII BONGO WANAWANUFAISHA SANA WASAUZ

Staa wa muziki wa Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY' akipozi. Stori: Shani Ramadhani
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Ambwene Yessaya ‘AY’ amefunguka kuwa maprodyuza wengi waliopo Afrika Kusini ‘Sauz’ wanapata faida kubwa sana kutoka nchi za Afrika hasa Tanzania kupitia muziki.
Akichonga na Over The Weekend, AY alisema wasanii walio wengi kutoka Bongo wamekubaliana na gharama zao ndiyo maana...

 

11 years ago

GPL

Suma Mnazaleth: Wasanii Bongo tunanyonywa sana

MSANII anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Suma Mnazaleth. Na Said Ally    
MSANII anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva, Suma Mnazaleth, amesema umaskini mkubwa walionao wasanii wa Bongo unatokana na kampuni ambazo zinawadhamini, kwani nyingi zimekuwa zikiwanyonya. Suma Mnazaleth ambaye kwa sasa anatamba na Wimbo wa Mnazaleth na ule wa Mkatoliki aliomshirikisha  R.O.M.A, ‘alitia...

 

10 years ago

GPL

UFUSKA: VIDEO QUEEN MAARUFU BONGO, MCHEKESHAJI WAJIREKODI WAKIFANYA NGONO!

Musa Mateja/Ijumaa Wikienda Aibu! Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Stan Bakora wamepiga picha za ngono kisha kusambaa hadi kulifikia deski la Ijumaa Wikienda. Mrembo anayeuza nyago (video queen) kwenye video kibao za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sabasitana na mchekeshaji maarufu Bongo, Stan Bakora wakijiachia. Picha hizo chafu...

 

10 years ago

Bongo5

Video:Alikiba na Vanessa wakifanya show ya Serengeti Fiesta 2014 Tanga

Watazame Alikiba na Vanessa Mdee wakitumbuiza kwenye show ya Serengeti Fiesta Tanga Jumamosi (August 23).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani