Tunaumia sana tunapoona wasanii wakifanya video zao South – Gentriez
Mtihani mkubwa walionao wasanii wachanga ni kufikia level za wasanii waliotangulia ambao kwa sasa wengi wao wamekuwa wakifanya video za gharama kubwa na waongozaji wa nje ya Tanzania.
Rapper wa Arusha, Gentriez amesema wasanii wengi wamekuwa wakiumia kuona wenzao wakitengeneza video kubwa zinazochezwa kwenye video vya runinga vya kimaitafa wakati wao hawana uwezo huo.
Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky, Gentriez alisema wasanii wengi hawana uwezo hata wa kumlipa Hanscana kufanya naye...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Nov
Ommy Dimpoz atoa sababu za wasanii wa Tanzania kutumia models wa nje kwenye video zao
![Ommy na model wa ndagushima](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ommy-na-model-wa-ndagushima-300x194.jpg)
Ommy Dimpoz ni kati ya wasanii wa Bongo ambao wameshoot video zao kadhaa nje ya Tanzania kwa kutumia waongozaji pamoja na video models wa nje.
Ommy Dimpoz na model wa ‘Ndagushima’ Sofia Skvortsova
Wengi wanaamini upo uwezekano wa wasanii kuamua kusafiri na models kutoka nyumbani kama ambavyo husafiri na dancers wao kwenda kushoot video nje, lakini Ommy Dimpoz ana sababu za kwanini hushindwa kufanya hivyo.
“Mara nyingi models wa nje wako proffesional wanaweza kucheza character zote ambazo...
9 years ago
Bongo517 Nov
Video: Rapper Gentriez azungumzia alivyowashirikisha Ben Pol na Godzilla
![12224498_1632535297010151_1264875697_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12224498_1632535297010151_1264875697_n-300x194.jpg)
Mtazame rapper wa Arusha, Gentriez akiongelea kuwashirikisha Ben Pol na Godzilla kwenye wimbo wake mpya ‘Nimempata.’
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
CloudsFM15 Jun
Wasanii wakifanya yao kwenye jukwaa la Jamhuri Dodoma #TanzaniaNaiamini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pdEPTk-_R3A/U51QV8CRQlI/AAAAAAAAFCE/BOojfJZSfUo/s1600/Diamond+3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-snYt25XRdfE/U51Q6dERDWI/AAAAAAAAFCM/F7CRyL4a3jg/s1600/Ashlay+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SY9XwnTUKg/U51RBRkTk1I/AAAAAAAAFCU/drk6NVeZ6TQ/s1600/Chege+an+Temba+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z6zuGJzXbE0/U51RHIavLrI/AAAAAAAAFCc/wKKS_wBohVI/s1600/Diamond+1+.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pj9kn91cd6o/U51RLZuEcOI/AAAAAAAAFCs/GNNUXzXEr_w/s1600/Diamond+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GVJCsthPO5k/U51RP-HC1gI/AAAAAAAAFC0/tEx6WHehCI0/s1600/Diamond+an+Martin.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8vPiWRXy3rs/U51RSJSvqTI/AAAAAAAAFC8/auvN-X_4YDQ/s1600/Godzilla+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bb20cgMd0dY/U51RZb-shiI/AAAAAAAAFDE/u2hVlNUUVjI/s1600/Madee+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_sQJ2GGyp4Y/U51R2vHx_qI/AAAAAAAAFDM/cUQFf-HivgA/s1600/Madee+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mkn2D9jUUVg/U51SXjvHWpI/AAAAAAAAFDo/93P6vrt2E6k/s1600/Mchomvu.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uTAoVMV2xbI/U51SWD-4_SI/AAAAAAAAFDg/xXv_eP54994/s1600/Msami+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9AFjLWqm82U/U51SVMkBoQI/AAAAAAAAFDY/jSviHodcRvo/s1600/Pipo.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kBtxwVmIPxQ/U51ScUNXAuI/AAAAAAAAFDw/2s0y2RfZlgA/s1600/Shilole+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qZDnel404lU/U51SjM1XitI/AAAAAAAAFD4/2yYm69wQedc/s1600/wasanii+.jpg)
10 years ago
Bongo Movies30 Jul
Monalisa :Wasanii Wanajiachia Sana
YVONNE Cherryl ‘Monalisa’ mwigizaji wa kike katika tasnia ya filamu Swahilihood amefunguka kwa kuwaambia baadhi ya wasanii katika fani ya uigizaji kushindwa kulinda miili yao na kujiachia kwa kunenepa na kupoteza muonekano wao jambo ambalo linapoteza nafasi zao katika sinema.
“Sisi wasanii wa filamu kwa Bongo hatuwezi kabisa kulinda muonekano wetu kimaumbo msanii akikubalika tu anajiachia mwili huo, vijana wadogo tu kuna wakati unashindwa umchezeshe kama binti au mama mtu mzima, lakini...
10 years ago
GPLAY: WASANII BONGO WANAWANUFAISHA SANA WASAUZ
11 years ago
GPLSuma Mnazaleth: Wasanii Bongo tunanyonywa sana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68wUmOKTgHIpJ2gFZH4WYAUSAggsU54Nq-HJ6f0mhVq-q3nHF6KjSk-OZAfcusiyMrfj6arrzcP-PiTGTA4unEwW/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
UFUSKA: VIDEO QUEEN MAARUFU BONGO, MCHEKESHAJI WAJIREKODI WAKIFANYA NGONO!
10 years ago
Bongo524 Aug
Video:Alikiba na Vanessa wakifanya show ya Serengeti Fiesta 2014 Tanga