Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Monalisa awapasha wanaomzulia mabaya

MUIGIZAJI nyota wa filamu nchini, Yvonne Cherry ‘Monalisa’  ambaye aliwahi kuwa mke wa marehemu George Tyson, aliyefariki dunia kwa ajali ya gari wiki kadhaa zilizopita, amefunguka kupitia  mtandao wa Instagram...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mbassa awapasha mawaziri 

MBUNGE wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa (CHADEMA) amesema haridhishwi na majibu ya mawaziri ambayo ni ya ujumla pale wanapoulizwa maswali ya msingi. Mbali na hilo, ameihoji serikali ni lini...

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis van Gaal awapasha waandishi.

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal ambaye kwa sasa yuko katika hali mbaya ndani ya klabu hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Makongoro awapasha WaNEC, wenyeviti mikoa

Makongoro Nyerere.WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wenyeviti wa CCM mikoa, wametakiwa kuacha kufanya ubaguzi kama wanaouonesha kwenye utangazaji nia kwa wagombea kiti cha urais huku wakijiona wao ni kila kitu sababu ya kuwakilisha kwenye Mkutano Mkuu.

 

11 years ago

Mwananchi

John Cheyo awapasha wajumbe Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, John Cheyo (UDP) amesema hakuna mantiki ya watu kuwazungumzia wajumbe waliosusia vikao.

 

10 years ago

Bongo Movies

Rose Ndauka Awapasha Wanaofuatilia Maisha Yake...Kisa Namkasa? Picha Hizi!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu za hapa bongo, Rose Ndauka ambae ni mama wa mtoto mmoja amewatolea uvivu baadhi ya watu ambao ni “followers” wake kwenye mtandao wa Instagram ambao walimshambulia sana kwa maneno baada ya yeye kuweka picha hiyo hapo juu akiwa amekaa na “jamaa” huku amemfunika uso.

Chokochoko

Baadhi ya watu hao walichukulia kwamba huyu jamaa pichani ndio “PROJECT” mpya ya Rose hivyo wakaanza kumshabulia mwananadada Rose kwa maneno kuwa hajatulia na ndiomana aliachika kwa bwana,...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha Awapasha Watayarishaji wa filamu na Mastaa wa Bongo Movies, Yeye Aonyesha Njia

Hili naomba niwaulize ma- producers, mastaaa wengine,na mashabiki wote.. hivi mnajua kuna vipaji sana nje ya wanaojiita mastaa ila bado hawajapata nafasi??

Hivi ni kubaniwa ama nini hadi wengine hawaonekani? Kama sisi tungebaniwa tungetoka?  Hebu tuacheni maringo na kusaidia wenye uhitaji .

Mnayemuona juu hapo (Pichani) anaitwa Jenifer Temu picha tu jinsi alivyovaa uhusika inajieleza ni kwa jinsi gani amevaa uhusika kwenye filamu ya Mtaa kwa Mtaa, si huyo tu wapo wengi katika wale 50...

 

10 years ago

GPL

MONALISA: MIMI SI GUBEGUBE

Na Laurent Samatta/UWAZI
MSANII wa kitambo kwenye tasnia ya filamu Bongo, Yvonne Cherly ‘Monalisa’ (33) amesema kuwa yeye siyo gubegube kwani alishawahi kukaa ndani ya ndoa lakini sasa ameamua kutulia. Msanii wa kitambo kwenye tasnia ya filamu Bongo, Yvonne Cherly ‘Monalisa’. Akipiga stori mbili-tatu na Uwazi, Monalisa alisema kuwa hata kama akiamua kurudi upya kwenye ndoa anaweza na kutilia...

 

11 years ago

GPL

MONALISA AFANYIWA SHEREHE!

Stori: Hamida Hassan ZIKIWA zimekatika siku 40 tangu kifo cha muongozaji maarufu Bongo, George Otieno ‘Tyson’, mke wa ndoa wa marehemu, Yvonne Sheryl ‘Monalisa’, mama yake mzazi , Suzan Lewis ‘Natasha’ pamoja na mwanaye Sonia wamefanyiwa sherehe. Mke wa ndoa wa marehemu Tyson, Yvonne Sheryl ‘Monalisa’ akiwa katika picha ya pamoja na mwanaye Sonia. Kwa mujibu wa Monalisa,...

 

11 years ago

GPL

MONALISA HOFU YA JUJU

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa filamu Bongo, Yvone Cherry ‘Monalisa’ amesema anaogopa kuweka wazi mambo yake kwa kuhofia kupigwa juju hivyo anaishi kwa siri. Yvone Cherry ‘Monalisa’. Akipiga stori na paparazi wetu, Monalisa alisema amejifunza maisha ya usiri na ndiyo maana huwa haaniki hata tarehe, mwezi au mwaka wa kuzaliwa kwani watu wabaya hutumia nafasi hiyo kukuangamiza. “Asikudanganye mtu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani