Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makongoro awapasha WaNEC, wenyeviti mikoa

Makongoro Nyerere.WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wenyeviti wa CCM mikoa, wametakiwa kuacha kufanya ubaguzi kama wanaouonesha kwenye utangazaji nia kwa wagombea kiti cha urais huku wakijiona wao ni kila kitu sababu ya kuwakilisha kwenye Mkutano Mkuu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WENYEVITI WA CCM MIKOA WAPONGEZA RAIS DK. JOHN MAGUFULI KWA KASI YAKE

 Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ramadhan Madabida akizungumza na waandishi wa habari (hayupo pichani) juu ya kazi inayofanywa na Rais Dk. John Magufuli leo jijini Dar es Salaam. Waandishi wa habari wakimfatilia Mwenyekiti wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ,Ramadhan Madabida leo jijni Dar es Salaam
Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiWENYEVITI wa Mikoa wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wamesema kuwa kasi ya Rais Dk. John Joseph Pombe Magufuli kwa kuwachukulia hatua ...

 

5 years ago

CCM Blog

KATIBU MKUU WA CCM DK. BASHIRU AWAONYA MAKATIBU WA WILAYA, MIKOA WANAOZEMBEA KUANDAA VITAMBULISHO VYA WENYEVITI WA MASHINA

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Dk. Bashiru Ally akipata chakula cha mchana nyumbani kwa Mwenyekiti wa Shina moja la CCM akuwa katika ziara ya kikazi mkoani Morogoro. 


Februari 15, 2020
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally ametoa onyo kwa Makatibu wa CCM wa Mikoa na Wilaya ambao hawajatekeleza agizo la kuandaa vitambulisho kwa ajili ya Wenyeviti wa mashina (Mabalozi) katika maeneo yao.

Dkt. Bashiru ametoa onyo hilo kutokana na kuwepo kwa taarifa ya baadhi ya Watendaji...

 

11 years ago

GPL

TAMKO LA WENYEVITI WA CCM-MIKOA LA KUMPONGEZA KATIBU MKUU WA CCM NDG. ABDULRAHAMAN OMAR KINANA NA SEKRETARIETI YA CCM TAIFA

Mgana Izumbe Msindai – Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa akitoa tamko hilo kwenye makao makuu ya Chama Chama Mapinduzi Ofisi ndogo Lumumba jijini Dar es salaam leo,kulia ni Haji Juma Haji – Makamu Mwenyekiti Wa Wenyeviti Mikoa na kushoto ni Lucas Ole Mukusi – Katibu wa Wenyeviti Mikoa. ................................................................................................................ Sisi...

 

11 years ago

Michuzi

SITTA ATANGAZA MAJINA YA WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI KAMATI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA

N a Magreth Kinabo ,Dodoma Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba,Mhe. Samwel Sitta leo (jana), ametangaza majina ya wenyeviti na makamu wenyeviti wa Kamati za bunge hilo.  Majina hayo yametangazwa na Mwenyekiti huyo  baada ya uchaguzi wa viiongozi hao uliofanyika  (jana) Machi 24 , mwaka  2014 mjini  Dodoma . Mwenyekiti ametangaza majina haya baada ya kuunda kamati hizo  jana kwa mujibu wa kanuni ya 54 (1) ya kanuni za Bunge Maalum za Mwaka 2014 ambazo zimetungwa chini ya kifungu cha 26...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbassa awapasha mawaziri 

MBUNGE wa Biharamulo Magharibi, Dk. Antony Mbassa (CHADEMA) amesema haridhishwi na majibu ya mawaziri ambayo ni ya ujumla pale wanapoulizwa maswali ya msingi. Mbali na hilo, ameihoji serikali ni lini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Monalisa awapasha wanaomzulia mabaya

MUIGIZAJI nyota wa filamu nchini, Yvonne Cherry ‘Monalisa’  ambaye aliwahi kuwa mke wa marehemu George Tyson, aliyefariki dunia kwa ajali ya gari wiki kadhaa zilizopita, amefunguka kupitia  mtandao wa Instagram...

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis van Gaal awapasha waandishi.

Meneja wa Manchester United Louis van Gaal ambaye kwa sasa yuko katika hali mbaya ndani ya klabu hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

John Cheyo awapasha wajumbe Bunge la Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, John Cheyo (UDP) amesema hakuna mantiki ya watu kuwazungumzia wajumbe waliosusia vikao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani