Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgombea CHADEMA awekewa pingamizi

MGOMBEA wa ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauk, amewasilisha pingamizi kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Samweli Sarianga, dhidi ya mgombea wa Chama cha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mgombea Chadema awekewa pingamizi Chalinze

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chadema, Mathayo Torongey, amewekewa pingamizi na mgombea wa CUF, Fabian Skauki, akidaiwa kuwa pamoja na mambo mengine, hajui kusoma na kuandika Kiswahili wala Kiingereza. Mgombea mwingine katika uchaguzi huo ni Ridhiwani Kikwete, ambaye anagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

Mtanzania

Mbowe awekewa pingamizi Chadema

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

Elizabeth Hombo, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu kwa madai ya kukiuka katiba ya chama hicho na maagizo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.

Pingamizi hilo limewekwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi hiyo.

Barua ya Mbarouk yenye kumbukumbu namba  Mbarouk/UCH/14 kwenda kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Profesa Maghembe awekewa pingamizi

Wakati kampeni zikianza, wagombea mbalimbali wamewekewa pingamizi huku baadhi ya majina yakipita bila kupingwa kwa vyama mbalimbali.

 

11 years ago

GPL

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE (CUF) AMUWEKEA PINGAMIZI WA CHADEMA

TAARIFA YA PINGAMIZI LA MGOMBEA WA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE FABIAN LEONARD SKAUKI – MGOMBEA CHAMA CHA WANANCHI –CUF
                                                            DHIDI YA
MATHAYO MANG’UNDA TORONGEY – MGOMBEA...

 

9 years ago

Habarileo

Mshauri wa Maalim Seif awekewa pingamizi Zanzibar

MANSOUR Yussuf Himid ambaye ni mshauri wa siasa wa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amewekewa pingamizi na mgombea wa CCM kwa madai ya kuwasilisha taarifa za uongo katika makosa yanayomkabili ya kukamatwa na silaha.

 

11 years ago

Michuzi

PINGAMIZI LA CHADEMA DHIDI YA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA LATUPWA

Godfrey Mgimwa

Lile pingamizi lililokuwa limewekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya mgombea ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limetupwa.
Katika pingamizi lao lilowasilishwa juzi, Chadema walikuwa wanapinga Godfrey Mgimwa kugombea ubunge kupitia CCM kama alivyoomba kwa kuwa sio raia wa Tanzania.
Tetesi za tatizo la uraia wa Godfrey Mgimwa zilisambaa mjini Iringa baada ya Chadema kuweka pingamizi hilo.
Katika Pingamizi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kaimu Msimamizi wa uchaguzi Singida mjini atupilia mbali pingamizi la CHADEMA dhidi ya mgombea wa CCM

DSC01221

Kaimu msimamizi wa uchaguzi jimbo la Singida mjini, Gerald Muhabuki Zephyrin,akizungumza na Modewjiblog juu ya uchaguzi ubunge jimbo la Singida mjini.(Picha na Gasper Andrew).

Na Nathaniel Limu, Singida

PINGAMIZI lililowekwa na Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA),jimbo la Singida mjini, dhidi ya mgombea wa CCM Mussa Ramadhan Sima kuwa fomu zake haziko sawa kwa mujibu wa kanuni,taratibu na sheria za uchaguzi,limetupiliwa mbali kwa madai kwamba halina mashiko.

Akizungumza na...

 

9 years ago

Habarileo

Pingamizi la Chadema Singida lakosa mashiko

PINGAMIZI lililokuwa limewekwa na mgombea wa ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia Chadema dhidi ya mgombea wa CCM limetupiliwa mbali kutokana na kukosa mashiko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani