Mgombea CHADEMA awekewa pingamizi
MGOMBEA wa ubunge Jimbo la Chalinze kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Fabian Skauk, amewasilisha pingamizi kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo, Samweli Sarianga, dhidi ya mgombea wa Chama cha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 Mar
Mgombea Chadema awekewa pingamizi Chalinze
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chadema, Mathayo Torongey, amewekewa pingamizi na mgombea wa CUF, Fabian Skauki, akidaiwa kuwa pamoja na mambo mengine, hajui kusoma na kuandika Kiswahili wala Kiingereza. Mgombea mwingine katika uchaguzi huo ni Ridhiwani Kikwete, ambaye anagombea kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
10 years ago
Mtanzania08 Sep
Mbowe awekewa pingamizi Chadema
![Freeman Mbowe](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Freeman-Mbowe.jpg)
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Elizabeth Hombo, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amewekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu kwa madai ya kukiuka katiba ya chama hicho na maagizo ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.
Pingamizi hilo limewekwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi hiyo.
Barua ya Mbarouk yenye kumbukumbu namba Mbarouk/UCH/14 kwenda kwa...
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Profesa Maghembe awekewa pingamizi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhk5UnKluLgVgIGUEU3kQFW92R8hCumRhItevvfdkNzos1Kbwc42R-M7jYiYvD13B2WoQkJOQXNVLnH*2fsULw5c/13.gif)
MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHALINZE (CUF) AMUWEKEA PINGAMIZI WA CHADEMA
9 years ago
Habarileo08 Sep
Mshauri wa Maalim Seif awekewa pingamizi Zanzibar
MANSOUR Yussuf Himid ambaye ni mshauri wa siasa wa mgombea wa nafasi ya urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CUF, Maalim Seif Sharif Hamad, amewekewa pingamizi na mgombea wa CCM kwa madai ya kuwasilisha taarifa za uongo katika makosa yanayomkabili ya kukamatwa na silaha.
11 years ago
Michuzi20 Feb
PINGAMIZI LA CHADEMA DHIDI YA MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA LATUPWA
Lile pingamizi lililokuwa limewekwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) dhidi ya mgombea ubunge katika jimbo la Kalenga mkoani Iringa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) limetupwa.
Katika pingamizi lao lilowasilishwa juzi, Chadema walikuwa wanapinga Godfrey Mgimwa kugombea ubunge kupitia CCM kama alivyoomba kwa kuwa sio raia wa Tanzania.
Tetesi za tatizo la uraia wa Godfrey Mgimwa zilisambaa mjini Iringa baada ya Chadema kuweka pingamizi hilo.
Katika Pingamizi...
9 years ago
Dewji Blog25 Aug
Kaimu Msimamizi wa uchaguzi Singida mjini atupilia mbali pingamizi la CHADEMA dhidi ya mgombea wa CCM
Kaimu msimamizi wa uchaguzi jimbo la Singida mjini, Gerald Muhabuki Zephyrin,akizungumza na Modewjiblog juu ya uchaguzi ubunge jimbo la Singida mjini.(Picha na Gasper Andrew).
Na Nathaniel Limu, Singida
PINGAMIZI lililowekwa na Chama Cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA),jimbo la Singida mjini, dhidi ya mgombea wa CCM Mussa Ramadhan Sima kuwa fomu zake haziko sawa kwa mujibu wa kanuni,taratibu na sheria za uchaguzi,limetupiliwa mbali kwa madai kwamba halina mashiko.
Akizungumza na...
9 years ago
Habarileo27 Aug
Pingamizi la Chadema Singida lakosa mashiko
PINGAMIZI lililokuwa limewekwa na mgombea wa ubunge Jimbo la Singida Mjini kupitia Chadema dhidi ya mgombea wa CCM limetupiliwa mbali kutokana na kukosa mashiko.