Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga ilijituma licha ya kufungwa

Hans Pluijm amesema licha ya kufungwa na Etoile du Sahel nchini Tunisia,wachezaji wake wamejituma uwanjani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BAO LA MAPEMA LA NGASSA LAIVUSHA YANGA ROUND YA PILI LICHA LA KULALA UGENINI 2-1

DSC_0863-794466Dk 29, Ngassa analiifungia Yanga bao safi kwa kichwa cha kuchupa baada ya basi nzuri ya Amissi Tambwe aliyeuwahi mpira alioutema kipa wa BDF. Kipindi cha pili BDF XI walirudi na moto na kufanikiwa kuwabana yanga na kurudisha bao na kuongeza la pili lakini na matokeoa kusomeka mwisho wa mchezo 2-1 yanga wanafaida na bao la ugenini na pia ushondo wa 2 bila majibu walioupata Tanzania katika mchezo wao wa Tanzania uliwaakikishia kuwa na kazi nyepese kwenye mchezo wa marudiano. Kwaiyo kwa matokeo...

 

9 years ago

Michuzi

BAADA YA KUFUNGWA 2-0 NA MAHASIMU WAO YANGA, SIMBA WAMLALAMIKIA REFA

Ankal akiwa na Haji S.Manara
Mkuu wa habari wa Simba leo jijini Dar es salaamTarehe 26-9-2015 jana jumamosi kulifanyika mechi ya ligi kuu ya vodacom Tanzania bara baina y a klabu yetu ya Simba na timu ya Yanga. Kwenye mchezo huo timu yetu imepoteza mchezo huo kwa kufungwa goli mbili kwa bila.
Tumeanza kuandika hvyo hapo juu kwa maksudi kuonyesha sisi Simba tumeyakubali matokeo hayo ya dakika tisini za mchezo na tutumie nafasi hii kiungwana kabisa kuwapongeza watani wetu wa jadi kwa ushindi huo...

 

10 years ago

Bongo5

Ray (Yanga) kumpa JB milioni 1 na kuvaa jezi ya Simba baada ya kufungwa

Kabla ya mechi ya ‘Nani Mtani Jembe’ kati ya Yanga na Simba mashabiki wa timu hizo mbili ambao ni wasanii wa filamu, Vicent ‘Ray’ Kigosi na JB walipinga yoyote atakayefungwa atavaa jezi ya mwenzake na kumkabidhi zawadi ya shilingi milioni 1. Ray ambaye ni shabiki wa Yanga itambidi avae jezi ya Simba pamoja na kumkabidhi […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Kocha:Tumejifunza licha ya kushindwa

Kocha wa kriketi wa Tanzania amesema kikosi chake kimepata uzoefu na kujifunza mengi wakati wa michuano ya vijana chini ya miaka 19 ya kufuzu kucheza kombe la Dunia .

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza kugombea licha ya pingamizi

Pierre Nkurunziza ameteuliwa na chama chake kugombea nafasi ya urais kwa awamu ya tatu katika uchaguzi mkuu wa mwezi June mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Cameroun yashinda licha ya mejeraha

Cameroun ilisajili ushindi wa 2-0 dhidi ya Macedonia licha ya kukumbwa na majeraha

 

10 years ago

BBCSwahili

Wema:azomewa licha ya Kujieleza

Muigizaji maarafu wa filamu nchini Tanzania,Wema Sepetu alizomewa kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaishambulia IS licha ya onyo

Majeshi ya Marekani wameendelea kuishambulia maeneo yanayokaliwa na kundi la Islamic State licha ya onyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Tutanunua wachezaji licha ya vikwazo

Mabingwa Manchester City itanunua wachezaji licha ya faini ya UEFA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani