WALIOOA GLOBAL WAWATOA JASHO MABACHELA
Kikosi cha Mabachela wa Global kabla ya mtanange kuanza. Kikosi cha wafanyakazi wa Global Publishers waliooa kilichoanza mechi.…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Polisi wawatoa hofu watalii Zanzibar
Polisi imewatoa wasiwasi wananchi wa visiwani hapa na watalii kutoka nchi ya nje ikisema itamarisha ulinzi na usalama katika kipindi cha kuelekea Uchaguzi Mkuu.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Papa Francis atofautiana na Maaskofu juu ya kuruhusiwa kwa waliooa kuwa mapadre
Amepinga kura iliyopigwa mwaka jana na maaskofu wa kanisa hilo waliounga mkono kuwatawaza mapadri wanaume waliooa katika kanda yenye misitu wa mvua la Amazon
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hdmkDR-ykFQ5QVD3T2mXI5U4o22NOE5Tq6Y627uehaLtvlgQxvsQhqmADorzgrpRDcxM9PLA*5E4ZRVkbRS-xQd/4.jpg?width=650)
GWAJIMA JASHO CHAPACHAPA
Na Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, jana amehojiwa kwa saa tano na kutoka katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar akiwa chapachapa kwa jasho ndani ya koti kufuatia yale madai ya kumtolea maneno yenye kuudhi, Askofu wa Kanisa la Romani Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. MCHUNGAJI Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Awali Gwajima...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCw7g4SWPP27rCV3sW2goYLGK0dHO0l6bIM89sCMzGphLgDT1T9wGw2ltDzBLqs-*BuxdeWHDfVoc0MKd*lv20K9/BACK.jpg?width=650)
ASAULA AKIMFUTA JASHO BI. HARUSI
Stori:Dustan Shekidele, Morogoro
HII aibu ya kufungulia mwaka wa 2015! Mwanamke mmoja ambaye inadaiwa ni mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Mishi Choggo ametoa kali ya mwaka baada ya kusaula kisha kutumia gauni lake kumfutia jasho bi. harusi. Mwanamke huyo akisahula wakati anamfuta jasho bibi harusi. Bi’mkubwa huyo alifanya kioja hicho Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa Rose Garden maeneo ya Mafinga mkoani hapa...
10 years ago
BBCSwahili18 Jan
Mancity kutoana jasho na Arsenal
Sergio Aguero na Vincent Kompany wanatarajiwa kuanza baada ya kushirikishwa miongoni mwa wachezaji wa ziada wiki iliopita
10 years ago
BBCSwahili10 Oct
Wanawake kutoana jasho Namibia
Timu za soka ya akina dada kutoka Nigeria, Ghana na Cameroon ndizo zinazopigiwa upato zaidi kushinda kombe la mabingwa Afrika .
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Besigye kutoana jasho na Museveni
Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye atapambana na rais Yoweri Museveni kwa mara ya nne katika uchaguzi mkuu mwaka ujao
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Tunisia kutoana jasho na Zambia
Zambia italazimika kuimarisha safu ya kati katika mechi didi ya Tunisia kufuatia jeraha la mchezaji Nathan Sinkala .
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9Jaj7pw8wgwo5n2WBqdOjBjNdwyeR-i18otsCwX4fDQWTPLwzavL21gX2Ufd16Qfv8Zkk4*ONA031UVTEXjnHEZ/FRONTRISASIJUMAMOSI.gif?width=650)
WEMA, ZARI WATOANA JASHO
Musa mateja na Imelda Mtema
Nisheedah! Gumzo la mjini wiki hii ilikuwa ni shoo ya mchumba wa Nasibu Abdul ‘Diamond’ Zarinah Hassan ‘Zari’ iitwayo Zari All White Party iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar na ile ya Instagram Party ambayo ilimhusu mrembo Wema Sepetu iliyofanyika jijini Mwanza ambapo nyuma ya pazia, warembo hao walitoana jasho kuhakikisha...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania