Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GWAJIMA JASHO CHAPACHAPA

Na Waandishi Wetu
MCHUNGAJI Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, jana amehojiwa kwa saa tano na kutoka katika Kituo Kikuu cha Polisi, Dar akiwa chapachapa kwa jasho ndani ya koti kufuatia yale madai ya kumtolea maneno yenye kuudhi, Askofu wa Kanisa la Romani Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo. MCHUNGAJI Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Awali Gwajima...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

FUNDISHO LA MCHEPUKO, DAMU CHAPACHAPA

Stori: Richard Bukos na Issa Mnally AMA kweli duniani kuna vituko! Mkazi wa Mtaa wa Lagos, Wazo Mivumoni, Msitu wa Pande jijini Dar es Salaam, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42) Jumatano iliyopita alikumbwa na majanga baada ya mwanaume aliyejulikana kwa jina la Yusuf Ally ‘Mgosi wa Ndima’ kudai amemfumania Baba Eliza akiwa na mkewe ambaye jina halikupatikana. Mgoni, Nuru Makala ‘Baba Eliza’ (42)...

 

10 years ago

Vijimambo

Mawakili wa Gwajima Wajibu Mapigo Waiandikia Barua Polisi Kuhusu Uhalali wa Kumtaka Gwajima Awasilishe Nyaraka 10 za Mali Zake


Mawakili wa Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, wameandika barua kuliomba Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, kuandika kimaandishi nyaraka wanazozihitaji azipeleke pamoja na vifungu vya sheria vinavyomtaka awasilishe nyaraka hizo.Barua hiyo iliyosainiwa na Wakili Peter Kibatala iliwasilishwa jana mchana katika jeshi hilo, ikiwa ni siku moja baada ya jeshi hilo kumtaka Askofu Gwajima kuwasilisha nyaraka 10, Aprili 16 mwaka huu watakapoendelea na mahojiano.
Gwajima...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity kutoana jasho na Arsenal

Sergio Aguero na Vincent Kompany wanatarajiwa kuanza baada ya kushirikishwa miongoni mwa wachezaji wa ziada wiki iliopita

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool kutoana jasho na Mancity

Mchezaji wa Liverpool Phillpe Coutino anarejea uwanjani siku ya jumapili baada ya kupumzishwa katika mechi dhidi ya Besikitas

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal kutoana jasho na Besikitas

Arsenal kuchuana na kilabu ya Besikitas katika mechi za mchujo wa kombe la Mabingwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Besigye kutoana jasho na Museveni

Kiongozi wa upinzani Uganda Kizza Besigye atapambana na rais Yoweri Museveni kwa mara ya nne katika uchaguzi mkuu mwaka ujao

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa waitoa jasho CCM

untitledNa Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Zitto, TPDC watoana jasho

MVUTANO mkali umeibuka kati ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC), na Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC), kuhusu mikataba ya gesi nchini....

 

10 years ago

BBCSwahili

Tunisia kutoana jasho na Zambia

Zambia italazimika kuimarisha safu ya kati katika mechi didi ya Tunisia kufuatia jeraha la mchezaji Nathan Sinkala .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani