Zitto, TPDC watoana jasho
MVUTANO mkali umeibuka kati ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma (PAC), na Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC), kuhusu mikataba ya gesi nchini....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wTFR6FHHG9Jaj7pw8wgwo5n2WBqdOjBjNdwyeR-i18otsCwX4fDQWTPLwzavL21gX2Ufd16Qfv8Zkk4*ONA031UVTEXjnHEZ/FRONTRISASIJUMAMOSI.gif?width=650)
WEMA, ZARI WATOANA JASHO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYpBXzSmmzy4zoNfhbH8x-v6oC0r-RjzVi184vQDTNl3blytKer2Vgb5ajFSl9awjb29RMhdWSe-Gp6mK71RGGac/kajala.jpg)
KAJALA WEMA WATOANA JASHO POLISI
10 years ago
GPLWASICHANA WATOANA JASHO AIRTEL RISING STARS
11 years ago
MichuziWAFANYAKAZI WA MABENKI MKOANI KILIMANJARO WATOANA JASHO KATIKA BONANZA LA BANKERS DAY 2014.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Kamati ya Zitto yawatimua vigogo wa TPDC
10 years ago
Mtanzania04 Nov
Kina Zitto wawatia mbaroni vigogo TPDC
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Michael Mwande na Kaimu Mkurugenzi wa shirika hilo, James Andilile, wametiwa mbaroni baada ya kukaidi amri ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyotaka kukabidhiwa mikataba 26 ya gesi kwa takribani miaka mitatu sasa.
Vigogo hao walikamatwa jana Dar es Salaam katika ofisi Ndogo za Bunge walipokutana na kamati hiyo ambayo ilikaa kama mahakama.
Tangu mwaka 2012, PAC imekuwa ikiomba...
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Kamati ya Zitto yawapeleka polisi vigogo TPDC
10 years ago
Habarileo23 Mar
Ukawa ‘watoana macho’ Moro
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Morogoro kimeingia kwenye malumbano jukwaani na uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilaya ya Morogoro kuhusu suala la mchakato wa kumpata wa mgombea wa ubunge wa jimbo la Morogoro Mjini kupitia Ukawa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba, mwaka huu.
10 years ago
Mtanzania24 Mar
CCM watoana macho urais
Fredy Azzah na Debora Sanja, Dodoma
JOTO la Uchaguzi wa Rais ndani ya CCM linazidi kupanda huku makada na viongozi wa chama hicho wakipigana vijembe hadharani.
Hali hiyo inatokana na kile kinachojitokeza sasa, kuibuka kwa makundi ya jamii, wakiwamo wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu, kuwashawishi makada kadhaa wa CCM wawanie nafasi hiyo ya uongozi wa nchi katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba.
Makada ambao wamekuwa wakishawishiwa kuwania nafasi hiyo ni Mbunge wa Monduli, Edward...