Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOA LA LOWASA HALITOKI



Kilicho mfanya Dr Slaa ashindwe Kumuunga Mkono Lowasa ni kua hakutarajia Nyoka ambae alimtangaza kua ni Adui Mkubwa na Muharibifu kama Atamuingilia Nyumbani kwake na Kumtoa Nje na Nyoka huyo Adui alokua akimtangaza Tanzania Nzima kubakia Nyumbani kwake.Kabakia sasa hana tena Thamani yoyote kwa Chadema wala Ukawa ila Zawadi anayo ipata ni Matusi ,kweli waswahili wamesema Fadhila za Pumnda ni Mateke na Mashuzi.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa yatia doa Krismasi

Baadhi ya wakazi wa Bonde la Mkwajuni na Msimbazi  Manispaa ya Kinondoni waliovunjiwa nyumba zao na Serikali, wamesherekea Sikukuu ya Krismasi juu ya vifusi, huku wengi wao wakisema hawajui kama leo (jana) ni sikukuu.

 

9 years ago

Mwananchi

Mihuri yatia doa upigaji kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imelazimika kutumia mihuri ya mwaka 2010 katika vituo mbalimbali vya Jimbo la Morogoro Mjini baada ya mihuri ya mwaka huu kuwa na matatizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuvamiwa watalii kwatia doa Zanzibar

Katibu Mkuu wa Tume ya Utalii Zanzibar, Salehe Ramadhani Ferouz, amesema mashambulizi ya baadhi ya watalii waliowahi kutembelea visiwa vya Zanzibar, yameifanya picha ya kisiwa hicho cha amani kubadilika.

 

5 years ago

Forbes

So, Now You’re In Video Meetings: The Do’s And Don’ts

So, Now You’re In Video Meetings: The Do’s And Don’ts  ForbesZoom Chromecast: How to get Zoom on TV - how do you use Zoom?  Express.co.ukAmid lockdown, Zoom gains popularity; but how safe is it?  Al Jazeera EnglishTrolls find new targets in Zoom meetings: Here’s how to avoid ‘zoombombers’  Digital TrendsZoom video conferencing app in the spotlight amid COVID19 outbreak  CGTN AmericaView Full coverage on Google...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 7 wa Costa Rica hawana doa

Wachezaji 7 wa Costa Rica waliolazimishwa kupimwa mkojo baada ya mechi ya Italia hawakutumia dawa.

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali ijiondoe na doa hili la mgombea binafsi

Kwa hakika haileti picha nzuri kuona Serikali inakaa kimya kuhusu utekelezaji wa masuala mbalimbali, tena mengine yakiwa na nguvu za kimahakama.

 

10 years ago

Mwananchi

Messi atia doa urafiki wa Simba, Azam

Usajili wa Ramadhan Singano ‘Messi’ kutoka Simba kwenda Azam kwa mkataba wa miaka miwili umeanza kuibua hisia za ushindani na uhasama mkubwa baina ya timu hizo mbili, ambazo awali zilidhaniwa na wengi kuwa ndugu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani