DOA LA LOWASA HALITOKI
Kilicho mfanya Dr Slaa ashindwe Kumuunga Mkono Lowasa ni kua hakutarajia Nyoka ambae alimtangaza kua ni Adui Mkubwa na Muharibifu kama Atamuingilia Nyumbani kwake na Kumtoa Nje na Nyoka huyo Adui alokua akimtangaza Tanzania Nzima kubakia Nyumbani kwake.Kabakia sasa hana tena Thamani yoyote kwa Chadema wala Ukawa ila Zawadi anayo ipata ni Matusi ,kweli waswahili wamesema Fadhila za Pumnda ni Mateke na Mashuzi.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qbn-hmie8EI/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Bomoabomoa yatia doa Krismasi
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mihuri yatia doa upigaji kura
11 years ago
Mwananchi16 Feb
Kuvamiwa watalii kwatia doa Zanzibar
5 years ago
Forbes29 Mar
So, Now You’re In Video Meetings: The Do’s And Don’ts
11 years ago
BBCSwahili30 Jun
Wachezaji 7 wa Costa Rica hawana doa
10 years ago
Mtanzania23 Oct
Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...
10 years ago
Mwananchi27 Feb
Serikali ijiondoe na doa hili la mgombea binafsi
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Messi atia doa urafiki wa Simba, Azam