Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


So, Now You’re In Video Meetings: The Do’s And Don’ts

So, Now You’re In Video Meetings: The Do’s And Don’ts  ForbesZoom Chromecast: How to get Zoom on TV - how do you use Zoom?  Express.co.ukAmid lockdown, Zoom gains popularity; but how safe is it?  Al Jazeera EnglishTrolls find new targets in Zoom meetings: Here’s how to avoid ‘zoombombers’  Digital TrendsZoom video conferencing app in the spotlight amid COVID19 outbreak  CGTN AmericaView Full coverage on Google...

Forbes

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Olamide ‘Eyan MayWeather’ na ‘Don’t Stop’

olamide

Msanii kutoka Nigeria ambaye pia ni rapper Olamide ameachia video mbili za wimbo “Don’t Stop” na “Eyan Mayweather” zinatoka kwenye album yake mpya ya Eyan Mayweather.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Tatizo kubwa la kiafya la Chege lilikaribia kutia doa utengenezaji wa video yake ya Sweety Sweety Afrika Kusini

CHEGE-NEW

Chege amesimulia changamoto kubwa iliyompata wakati akishoot video ya wimbo wake Sweety Sweety nchini Afrika Kusini na director Justin Campos.

CHEGE-NEW

Chege ameiambia Bongo5 kuwa moja ya changamoto kubwa iliyomkuta ni kupata maumivu ya kiuno hali ambayo ilisababisha kusitishwa kwa shughuli hiyo.

“Kuna ile short ya kwanza kabisa nilipata tatizo la maumivu ya kiuno, kilikuwa kinauma sana ikabidi tupumzike na director akanipa dawa,” amesema.

“Lakini nashukuru Mungu baada ya muda fulani kikapoa na...

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini aeleza alichokuwa amepanga kufanya kama AKA asingetokea wakati wa kushoot video ya ‘Don’t Bother’

Johmakini.1

Tumekuwa tukishuhudia baadhi ya wasanii wakilazimika kushoot video bila wasanii waliowashirikisha kwenye nyimbo zao, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wasanii walioshirikishwa kukosa muda wa kushiriki kwenye video, au kushindwa kuelewana au tu kuamua kuzingua.

Johmakini.1

Ili kukabiliana na changamoto kama hizo, rapper wa Weusi Joh Makini alijipanga kikamilifu wakati anaenda Afrika Kusini kushoot video ya collabo yake na AKA ‘Don’t Bother’.

Joh amesema kuwa aliandaa version mbili ya wimbo huo ili...

 

10 years ago

Vijimambo

DOA LA LOWASA HALITOKI



Kilicho mfanya Dr Slaa ashindwe Kumuunga Mkono Lowasa ni kua hakutarajia Nyoka ambae alimtangaza kua ni Adui Mkubwa na Muharibifu kama Atamuingilia Nyumbani kwake na Kumtoa Nje na Nyoka huyo Adui alokua akimtangaza Tanzania Nzima kubakia Nyumbani kwake.Kabakia sasa hana tena Thamani yoyote kwa Chadema wala Ukawa ila Zawadi anayo ipata ni Matusi ,kweli waswahili wamesema Fadhila za Pumnda ni Mateke na Mashuzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Bomoabomoa yatia doa Krismasi

Baadhi ya wakazi wa Bonde la Mkwajuni na Msimbazi  Manispaa ya Kinondoni waliovunjiwa nyumba zao na Serikali, wamesherekea Sikukuu ya Krismasi juu ya vifusi, huku wengi wao wakisema hawajui kama leo (jana) ni sikukuu.

 

9 years ago

Mwananchi

Mihuri yatia doa upigaji kura

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imelazimika kutumia mihuri ya mwaka 2010 katika vituo mbalimbali vya Jimbo la Morogoro Mjini baada ya mihuri ya mwaka huu kuwa na matatizo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji 7 wa Costa Rica hawana doa

Wachezaji 7 wa Costa Rica waliolazimishwa kupimwa mkojo baada ya mechi ya Italia hawakutumia dawa.

 

11 years ago

Mwananchi

Kuvamiwa watalii kwatia doa Zanzibar

Katibu Mkuu wa Tume ya Utalii Zanzibar, Salehe Ramadhani Ferouz, amesema mashambulizi ya baadhi ya watalii waliowahi kutembelea visiwa vya Zanzibar, yameifanya picha ya kisiwa hicho cha amani kubadilika.

 

9 years ago

TheCitizen

Lowassa set for countrywide ‘thank you’ tour

The Chadema presidential candidate in the October 25 General Election, Mr Edward Lowassa, tomorrow begins a countrywide tour to thank Tanzanians for the support they accorded him during the polls, the leading opposition party has said.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani