Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA ZA SAKATA LA KUVAMIWA JARIDA LA VIKATUNI

Damu na makaratasi vikiwa vimetapakaa kila mahali katika ofisi za jarida la Charlie Hebdo  baada ya kuvamiwa na magaidi. Waandishi na wafanyakazi sita wa jarida la Charlie Hebdo waliouawa Jumatano iliyopita wakiwa katika picha ya pamoja ya mwaka 2000.  Waliozungushiwa duara ndiyo waliouawa ambao kutoka…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Zoom yashtakiwa na Kanisa baada ya mafunzo ya bibilia kuvamiwa kwa picha za ngono dhidi ya watoto

Mvamizi adukua mkutano wa mafundisho ya bibilia na kuonyesha picha mbaya zinazoonyesha watoto wakinyanyaswa.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Kim Kardashian apose ‘utupu’ kwenye jarida la GQ (18+)

Jarida la GQ limemtaja Kim Kardashian kama mwanamke wa mwaka. Mke huyo wa Kanye West, pia amepose utupu kwenye jarida hilo la nchini Uingereza. Tazama picha zake.

 

10 years ago

GPL

PICHA ZA UTUPU ZA KIM KARDASHIAN ZAPAMBA INTANET, JARIDA

Picha ya Kim Kardashian inayomwonyesha nusu mtu na nusu mnyama. Picha halisi iliyowekwa kwenye Intanet.…

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Amber Rose apose utupu kwenye jarida la GQ (18+)

Aliyekuwa mke wa rapper Wiz Khalifa, Amba Rose ame-pose utupu kwenye jarida la nchini Uingereza, GQ. Hii si mara ya kwanza kwa Amber kupiga picha za namna hiyo toka alipoachana na Wiz.(Ingia hapa) Kwa mujibu wa Hollywoodlife , inasemekana kuwa hii ni njia moja wapo ya kupromote kitabu chake cha “How To Be A Bad […]

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA KALI:Irene Uwoya Alivyolipamba Jarida La Vibe Tz

Jarida  la  maswala ya burudani, liitwalo Vibe Tz  lililotoka hivi karibuni,limepambwa kwa picha za muigizaji  wa filamu hapa Bongo, Irene Uwoya amabe ni mrembo aliebarikiwa suru na umbo matata bila kusahau rangi yake,kitu ambacho huwafanya vidume wengi kupagawa na kuwa na mashabiki wengi wa kazi zake mbali nakipaji chake katika sanaa.

Japokuwa kuwa kwasasa ni mama wa mtoto mmoja , Uwoya amefanya kile kinaitwa siku hizi –KU-BREAK THE INTERNET, kwenye picha alizopigwa na jarida hilo.

Irene...

 

9 years ago

Bongo5

Tazama picha za kuvutia za Beyonce kwenye jarida la Beat

Beyonce amekava jarida la Beat litakalotoka Jumatano hii. Hizi ni picha zake. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Madonna aonesha chuchu zake kwenye jarida la ‘Interview’

Ana miaka 56, lakini bado haoni haya kufanya ile wasichana kama Kim Kardashian au Rihanna wanafanya. Madonna ameonesha chuchu zake kwenye jarida la Interview. Hizi ni picha zaidi.

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Lupita Nyong’o akava jarida la Glamour (Woman of the Year 2014)

Muigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o na mshindi wa tuzo za Oscar kutokana kuigiza filamu ya 12 Years A Slave, amekava jarida la Glamour katika toleo lake la ‘Woman of the Year 2014. Jarida hilo limeandika: In the past year, the 31-year-old star’s life has unfolded like a fairy tale. In a series of breathtaking coups, […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani