Katibu Mkuu wa MPLA awasili Dar es Salaam kuhudhuria Mkutano wa vyama vya Kisoshalisti
![](http://3.bp.blogspot.com/-Up36JV5dJck/UzRE81uujrI/AAAAAAAFW0k/mw8RtNKfJMI/s72-c/unnamed+(51).jpg)
Katibu Mkuu wa Chama cha MPLA cha Angola Comrade Julio Mateus Paulo akipokelewa na Ndg. Phares Magesa Mjumbe wa NEC kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere alipowasili leo. Katibu Mkuu huyo wa Chama kinachoongoza Angola amewasili Dar es Salaam kuhudhuria Mkutano wa vyama vya Kisoshalisti ulimwenguni unaoanza kesho katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere.
Ndg.Magesa (MNEC) akiwa katika mazungumzo mafupi na Comrade Paulo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziKATIBU MKUU PROFESA OLE GABRIEL AFUNGUA MKUTANO WA VYAMA VYA WAFUGAJI WA KUKU, NGURUWE
Profesa Gabriel ameyasema hayo leo Jumamosi Machi 7, 2020 wakati wa kufungua mkutano wa wadau mbalimbali wa sekta Mifugo jijini Dar es Salaam.
Wadau wa Mkutano huo ni vyama vya Wafugaji Kuku Nguruwe pamoja na wadau wa ngozi uliolenga kupokea changamoto za katika Biashara Biashara...
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM
9 years ago
VijimamboKATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI MWAMINI MALEMI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU KUHUSU TEKNOLOJIA NA HUDUMA ZA ULINZI WA UMMA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-ggkCWPef5Jo/VYP8MTFnueI/AAAAAAAHhao/xWnI_mkAZvE/s640/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XkCIgAhsVVc/VYP8MZZ-A3I/AAAAAAAHhas/rCmaYDJU0tc/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI MAREKANI KUHUDHURIA MKUTANO WA 69 WA UN
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s72-c/us1.jpg)
JK awasili Marekani kuhudhuria mkutano wa 69 wa Umoja wa Mataifa
![](http://4.bp.blogspot.com/-gsLMuvum_cs/VBmjqj7eXkI/AAAAAAAGkJY/yymvZBwbMto/s1600/us1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/zz_2ScDne7o/default.jpg)