Siku ya Mwalimu Nyerere, Fikra Kutoka Kavazini
SIKU ya Mwalimu Nyerere imekuwa ikiadhimishwa kila mwaka hapa nchini, na hata katika baadhi ya nchi Bashiru Ally
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GrumRRxu4WA/default.jpg)
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Siku Mwalimu Nyerere Alipofanya Maamuzi Magumu
ILIKUWA mwaka 1955 mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliamua kufanya maamuzi magumu ya kuamua kuachana na kazi yake ya ualimu kwenye Shule ya Sekondari Pugu iliyokuwa ikimpa kipato cha kujikimu na kuendesha maisha yake.
Alifanya maamuzi hayo ya kuachana na kazi yake hiyo na kuingia rasmi kwenye shughuli za kisiasa kupitia chama cha Tanganyika African National Union(TANU), ambazo kwa wakati huo hazikuwa na malipo zaidi ya kujitolea na wakati mwingine zilipelekea mtu kutiwa hatiani na...
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Siku Mwalimu Nyerere Alipofanya Maamuzi Magumu
ILIKUWA mwaka 1955 mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliamua kufanya maamuzi magumu ya kuamua kuachana na kazi yake ya ualimu kwenye Shule ya Sekondari Pugu iliyokuwa ikimpa kipato cha kujikimu na kuendesha maisha yake.
Alifanya maamuzi hayo ya kuachana na kazi yake hiyo na kuingia rasmi kwenye shughuli za kisiasa kupitia chama cha Tanzania African National Union, ambazo kwa wakati huo hazikuwa na malipo zaidi ya kujitolea na wakati mwingine zilipelekea mtu kutiwa hatiani na kubambikiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s72-c/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
Leo ni siku ya kuzaliwa mwalimu julius kambarage nyerere
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kuDfUXMHbo/VSwdPrjXNzI/AAAAAAAHRBY/SK8Mn9d6Y60/s1600/CCdtGPXWEAAF0t_.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Oct
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/maxresdefault.jpg?width=650)
HOTUBA YA MWALIMU NYERERE SIKU YA MEI MOSI 1995 MBEYA
10 years ago
Michuzi13 Oct
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ucoa1H_RrxY/VZT9SE51RoI/AAAAAAAC8Fw/q9FCJrIX0kU/s72-c/unnamed.jpg)
MAKALA YA MDAU KUTOKA UKEREWE-KINANA AMENIKUMBUSHA HOTUBA YA MWALIMU NYERERE
![](http://4.bp.blogspot.com/-ucoa1H_RrxY/VZT9SE51RoI/AAAAAAAC8Fw/q9FCJrIX0kU/s400/unnamed.jpg)
MWAKA 1995 kulikuwa na vuguvugu la vyama ya siasa kurithi kiti cha Rais wa awamu ya pili Ally Hassan Mwinyi, hasa ikizingatiwa ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichoshika dola pamoja na vyama vya upinzani kama NCCR-Mageuzi ya Augustino Lyatonga Mrema na Chama cha Wananchi (CUF), ni nani mwenye sifa ya kuongoza Tanzania.
Mambo yalikuwa mengi lakini udini na ukabila vilishika nafasi kubwa,...
10 years ago
Michuzi14 Oct