kinana wilayani ukerewe
![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s72-c/3.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kakukuru,Ukerewe ikiwa siku ya mwisho ya ziara yake mkoani Mwanza.Katibu Mkuu amekamilisha ziara ya kutembelea majimbo yote ya Uchaguzi nchi nzima ambapo amejionea utekelezaji wa ilani ya Uchaguzi unavyooendelea pamoja na uhai wa Chama Cha Mapinduzi.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Magessa Mulongo akihutubia wakazi wa Kakukuru wilayani Ukerewe.
Wakazi wa Kakukuru ,Ukerewe wakimsikiliza Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Kinana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Ziara ya Kinana Ukerewe
![](http://3.bp.blogspot.com/-bIrLTewUvh8/VZGk0JjdncI/AAAAAAAAgOQ/qOoh6K0w3rc/s640/15.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya Irungwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Fd_pvC7t8gM/VZGlCkiphgI/AAAAAAAAgOg/OuRmkGeHhds/s640/32.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dSAvSasu6zU/VJMajHSRywI/AAAAAAABItI/IIdQsZeWIEc/s72-c/0.1ppf%2Bmwanza2.jpg)
WAZIRI KAMANI AFUNGUA SEMINA YA VIONGOZI WA WAVUVI WILAYANI UKEREWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSAvSasu6zU/VJMajHSRywI/AAAAAAABItI/IIdQsZeWIEc/s1600/0.1ppf%2Bmwanza2.jpg)
11 years ago
MichuziHATIMAYE MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI YAKE WILAYANI UKEREWE MWANZA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-7KG1WK4u-PU/XvY7ySPj2EI/AAAAAAALvmw/4TkEtmYiBVUSJJ7Gp98J6KU7eZlek9kZACLcBGAsYHQ/s72-c/radi.jpeg)
RADI YAUA WATU WANNE, WENGINE 27 WAJERUHIWA WAKIWA KWENYE MTUMBWI WILAYANI UKEREWE
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
WATU wanne wameripotiwa kufariki Dunia na wengine 27 kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa kwenye mtumbwi waliokua wakisafiria katika Ziwa Victoria wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.
Akizungunza leo kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza Muliro Jumanne amesema lilitokea Juni 23 mwaka huu ,saa mbili asubuhi katika Kitongoji cha Busele kilichopo Kata ya Bubiko wilayani Ukerewe mkoani Mwanza.
Kamanda Muliro amesema mtumbwi huo wa abiria unaojulikana kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s72-c/15.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI BABATI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI KITETO MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s1600/15.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s72-c/14.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI UYUI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s1600/14.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s72-c/10.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI KITETO,LEO AELEKEA WILAYANI SIMANJIRO MKOANI MANYARA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z3UFj1G8J0/U4oMa_-6G7I/AAAAAAACiks/zcprQEoNIDI/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyQ4r6KRmmc/U4qdBWmmpOI/AAAAAAACinQ/tSXrUkruOCU/s1600/7.jpg)
11 years ago
GPLHATIMAYE MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 AKABIDHIWA ZAWADI ZAKE WILAYANI UKEREWE MWANZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ucoa1H_RrxY/VZT9SE51RoI/AAAAAAAC8Fw/q9FCJrIX0kU/s72-c/unnamed.jpg)
MAKALA YA MDAU KUTOKA UKEREWE-KINANA AMENIKUMBUSHA HOTUBA YA MWALIMU NYERERE
![](http://4.bp.blogspot.com/-ucoa1H_RrxY/VZT9SE51RoI/AAAAAAAC8Fw/q9FCJrIX0kU/s400/unnamed.jpg)
MWAKA 1995 kulikuwa na vuguvugu la vyama ya siasa kurithi kiti cha Rais wa awamu ya pili Ally Hassan Mwinyi, hasa ikizingatiwa ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. Miongoni mwa masuala yaliyojadiliwa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichoshika dola pamoja na vyama vya upinzani kama NCCR-Mageuzi ya Augustino Lyatonga Mrema na Chama cha Wananchi (CUF), ni nani mwenye sifa ya kuongoza Tanzania.
Mambo yalikuwa mengi lakini udini na ukabila vilishika nafasi kubwa,...