WAZIRI KAMANI AFUNGUA SEMINA YA VIONGOZI WA WAVUVI WILAYANI UKEREWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSAvSasu6zU/VJMajHSRywI/AAAAAAABItI/IIdQsZeWIEc/s72-c/0.1ppf%2Bmwanza2.jpg)
"Ndugu Meneja wa Kanda, napenda kuupongeza Mfuko wa Pensheni wa PPF ambao unatekeleza mojawapo ya sera zake ya kuhakikisha sekta isiyo rasmi inafikiwa kama ilivyo kwa sekta nyingine za uchumi hapa nchini. Hii itaongeza pato la Taifa hivyo kuzidi kuboresha maendeleo ya Watanzania kwa ujumla na kupunguza umaskini. Napenda kuwaambia kuwa kwa kuandaa semina hii muhimu katika eneo ambalo mimi mwenyewe nalisimamia imenipa faraja sana kwa kuona jinsi Mfuko huu wa PPF unavyowajali sekta zote za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziDk. KAMANI AFUNGUA SEMINA YA PPF NA WAVUVI - UKEREWE
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
Kamani afungua semina kuhusu makabila ya asili
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk Titus Kamani akifungua semina ya siku mbili ya kimataifa inayozungumzia makabila ya asili, haki zao na namna ya kuboresha maisha na mifumo ya chakula . Semina hiyo inayofanyika Hoteli ya Kunduchi jijini Dar es Salaam inajiandaa kwa kongamano la dunia nzima kuhusiana na jamii za asili ambalo litafanyika Roma Italia, Februari 2015.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Mwakilishi Shirika la Kimataifa la maendeleo ya Kilimo, IFAD, Bw.Francisco Pichon...
10 years ago
Michuzi16 Dec
DK. KAMANI AFUNGUA SEMINA KUHUSU MAKABILA YA ASILI
![001](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0012.jpg)
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk Titus Kamani akifungua semina ya siku mbili ya kimataifa inayozungumzia makabila ya asili, haki zao na namna ya kuboresha maisha na mifumo ya chakula . Semina hiyo inayofanyika Hoteli ya Kunduchi jijini Dar es Salaam inajiandaa kwa kongamano la dunia nzima kuhusiana na jamii za asili ambalo litafanyika Roma Italia, Februari 2015.
![002](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0021.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Dk. Kamani: Wataalamu SUA wainueni wavuvi, wafugaji
“KUNA kila sababu kwa sekta ya mifugo na uvuvi kuwa na mchango mkubwa wa kuchangia pato la taifa na kuwainua wananchi wanaojihusisha na shughuli hizo kibiashara.” Hayo ni maneno ya...
11 years ago
Habarileo23 Jan
Kamani: Nitaleta mabadiliko kwa wafugaji, wavuvi
WAZIRI wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Dk Titus Kamani amesema amebebeshwa mzigo mzito kuongoza wizara hiyo, kutokana na mtikisiko mkubwa ulioko katika wizara hiyo, unaosababishwa na kukithiri kwa migogoro baina ya wafugaji na wakulima.
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA AFUNGUA SEMINA YA VIJANA MKOANI LINDI
10 years ago
Dewji Blog07 May
Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFUNGUA RASMI SEMINA YA WACHIMBAJI WADOGO KIBARA, MKOANI MARA