Kamani afungua semina kuhusu makabila ya asili
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk Titus Kamani akifungua semina ya siku mbili ya kimataifa inayozungumzia makabila ya asili, haki zao na namna ya kuboresha maisha na mifumo ya chakula . Semina hiyo inayofanyika Hoteli ya Kunduchi jijini Dar es Salaam inajiandaa kwa kongamano la dunia nzima kuhusiana na jamii za asili ambalo litafanyika Roma Italia, Februari 2015.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Mwakilishi Shirika la Kimataifa la maendeleo ya Kilimo, IFAD, Bw.Francisco Pichon...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi16 Dec
DK. KAMANI AFUNGUA SEMINA KUHUSU MAKABILA YA ASILI
![001](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0012.jpg)
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi , Dk Titus Kamani akifungua semina ya siku mbili ya kimataifa inayozungumzia makabila ya asili, haki zao na namna ya kuboresha maisha na mifumo ya chakula . Semina hiyo inayofanyika Hoteli ya Kunduchi jijini Dar es Salaam inajiandaa kwa kongamano la dunia nzima kuhusiana na jamii za asili ambalo litafanyika Roma Italia, Februari 2015.
![002](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/0021.jpg)
10 years ago
MichuziDk. KAMANI AFUNGUA SEMINA YA PPF NA WAVUVI - UKEREWE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dSAvSasu6zU/VJMajHSRywI/AAAAAAABItI/IIdQsZeWIEc/s72-c/0.1ppf%2Bmwanza2.jpg)
WAZIRI KAMANI AFUNGUA SEMINA YA VIONGOZI WA WAVUVI WILAYANI UKEREWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-dSAvSasu6zU/VJMajHSRywI/AAAAAAABItI/IIdQsZeWIEc/s1600/0.1ppf%2Bmwanza2.jpg)
10 years ago
MichuziNaibu Waziri Kitwanga afungua semina kuhusu matumizi ya gesi asilia nchini
10 years ago
Dewji Blog07 May
Waziri wa Afya afungua semina kwa waandishi wa habari kuhusu usalama wa chakula
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Rashid Seif (kushoto), akihutubia wakati akifungua semina ya siku moja kwa waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu usalama wa chakula. Kulia ni Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora.
Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania, Dk.Rufaro Chatora akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Donan Mmbando (kushoto),...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jf5l3s9gfc0/VgAqfP3Ea3I/AAAAAAAH6jg/VUTKc07X9Io/s72-c/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA SABA WA KIMATAFA KUHUSU NAMNA YA KUZUWIA MAGONJWA YA ASILI NA ULEMAVU KATIKA NCH ZINAZOLEA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jf5l3s9gfc0/VgAqfP3Ea3I/AAAAAAAH6jg/VUTKc07X9Io/s640/unnamed%2B%252891%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5aYOqJds7G0/VgAqi6JkREI/AAAAAAAH6jo/fbCCQBe0Dwc/s640/unnamed%2B%252890%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII DK.RASHID SEIF AFUNGUA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA WA CHAKULA
10 years ago
GPLWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII DK.RASHID SEIF AFUNGUA SEMINA KWA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU USALAMA WA CHAKULA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Wyfeb5vivME/U2Z_PG4L_RI/AAAAAAAFfYk/8d_av9DAJsw/s72-c/unnamed+(73).jpg)
Ole Naiko afungua semina ya mafunzo ya wajasiriamali
![](http://3.bp.blogspot.com/-Wyfeb5vivME/U2Z_PG4L_RI/AAAAAAAFfYk/8d_av9DAJsw/s1600/unnamed+(73).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-P1MnANR0W0Y/U2Z_QE0dLzI/AAAAAAAFfYs/gOJM6oEouRQ/s1600/unnamed+(74).jpg)