Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ole Naiko afungua semina ya mafunzo ya wajasiriamali


 Mlezi wa  Asasi ya Diana Women Empowerment Organization ambaye pia Balozi wa Heshima wa Botswana nchini Tanzania, Bw. Emanuel Ole Naiko kati akifungua semina ya mafunzo ya wajasiriamali ambao ni wanachama wa asasi hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mwenyekiti wa taifa wa asasi hiyo, Bi. Farida Khakoo na kushoto ni Katibu wa Taifa wa asasi hiyo, Bi. Joyce Singano. Mlezi wa  Asasi ya Diana Women Empowerment Organizationambaye pia Balozi wa Heshima wa Botswana nchini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Ole Naiko speaks out on his share of escrow billions

Former Tanzania Investment Centre (TIC) executive director Emmanuel Ole Naiko yesterday said he was surprised to learn that he was among the beneficiaries of the Tegeta escrow billions.

 

10 years ago

Mwananchi

Ole Naiko ajitetea: Sikujua kama nimewekewa mamilioni

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Emmanuel Ole Naiko amesema hadi anatajwa kuwa miongoni mwa watu waliomegewa mamilioni ya shilingi yanayohusishwa na sakata la IPTL, hakuwa na taarifa kama akaunti yake katika Benki ya Mkombozi iliingiziwa Sh40.4 milioni.

 

11 years ago

TheCitizen

Ole Naiko lauds establishment of Mkoba Private Equity Fund in TZ

The Mkoba Private Equity Fund, which was recently launched by President Jakaya Kikwete, has been described as a true economic boost meant to support development and growth of small and medium enterprises (SMEs).

 

10 years ago

GPL

WAJASIRIAMALI NCHINI KUNUFAIKA NA SEMINA MAHSUSI

Wajasiliamali hao wakiwa kwenye picha ya pamoja. WAJASIRIAMALI nchini watanufaika na semina mahsusi zitakayofanyika katika mikoa mbalimbali ambapo pamoja na elimu ya ujasiriamali watapatiwa pia mbinu za biashara na namna rahisi ya kupata mikopo. Semina hizo ambazo ni ukombozi kwa wajasiriamali wengi nchini,  zitakuwa na mafunzo toka kwa wajasiriamali waliofanikiwa nchini ambao ni  Riziki Buberwa na Eric Shigongo. Semina...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NMB yaahidi semina zaidi kwa wajasiriamali

BENKI ya NMB imesema itaendelea kuendesha semina ya mikopo kwa wajasiriamali ili kuwajengea uwezo wa elimu ya kuziendeleza biashara zao. Hayo yalisemwa na mkuu wa kitengo cha mikopo kwa wajasiriamali...

 

10 years ago

Vijimambo

TPB yaendesha semina kwa wajasiriamali mkoani Mbeya

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini MbeyaBaadhi ya wajasiriamali wakiwa katika semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Baadhi ya...

 

10 years ago

GPL

TPB YAENDESHA SEMINA KWA WAJASIRIAMALI MKOANI MBEYA‏

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali...

 

10 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa mafunzo kwa wajasiriamali

Mafunzo ni kitu muhimu sana katika kila shughuli aifanyayo mtu. Mafunzo yanaweza kufanyika kabla mhusika hajapewa au hajajipa majukumu anayotakiwa kufanya. Pia, mafunzo huhitajika wakati mtu husika anapokuwa katika shughuli fulani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wajasiriamali wasaidiwa mafunzo, vifaa Moshi

Vikundi vya wanawake wa kata tofauti za Mkoa wa Kilimanjaro wamefanikiwa kupata mafunzo ya ujasiriamali kama hatua mojawapo ya kuwakwamua kiuchumi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani