Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ole Naiko ajitetea: Sikujua kama nimewekewa mamilioni

Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Emmanuel Ole Naiko amesema hadi anatajwa kuwa miongoni mwa watu waliomegewa mamilioni ya shilingi yanayohusishwa na sakata la IPTL, hakuwa na taarifa kama akaunti yake katika Benki ya Mkombozi iliingiziwa Sh40.4 milioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Ole Naiko afungua semina ya mafunzo ya wajasiriamali


 Mlezi wa  Asasi ya Diana Women Empowerment Organization ambaye pia Balozi wa Heshima wa Botswana nchini Tanzania, Bw. Emanuel Ole Naiko kati akifungua semina ya mafunzo ya wajasiriamali ambao ni wanachama wa asasi hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Mwenyekiti wa taifa wa asasi hiyo, Bi. Farida Khakoo na kushoto ni Katibu wa Taifa wa asasi hiyo, Bi. Joyce Singano. Mlezi wa  Asasi ya Diana Women Empowerment Organizationambaye pia Balozi wa Heshima wa Botswana nchini...

 

10 years ago

TheCitizen

Ole Naiko speaks out on his share of escrow billions

Former Tanzania Investment Centre (TIC) executive director Emmanuel Ole Naiko yesterday said he was surprised to learn that he was among the beneficiaries of the Tegeta escrow billions.

 

11 years ago

TheCitizen

Ole Naiko lauds establishment of Mkoba Private Equity Fund in TZ

The Mkoba Private Equity Fund, which was recently launched by President Jakaya Kikwete, has been described as a true economic boost meant to support development and growth of small and medium enterprises (SMEs).

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii Ndio Show na Kauli ya Mwisho ya Sharo, Sikujua Kwanini Alitaka Tufanye Kazi na Stanbakora-KITALE

Show ya mwisho kufanya na marehemu sharo ilikuwa mwembe yanga show ya DTV nakumbuka ilikuwa inaitwa "NI WAKATI WAKO" baada ya hapo kesho asubuhi tukaenda tanga kushuti movie yetu hii (Safara Hasara) ambayo 20/04/2015 ndio inatoka tukamaliza kushuti salama salimini tukarudi DAR usiku napigiwa simu na marehemu sajuki anataka niende kwenye show yake iringa CHANGIA SAJUKI tarehe 25/11/2012 akabaki kwa sababu alikuwa katoka magomeni kaamia sinza ana siku mbili bado mgeni sinza basi mimi nikafanya...

 

10 years ago

TheCitizen

Naiko downplays ‘role’ in escrow saga

>Former Tanzania Investment Centre (TIC) executive director Emmanuel Ole Naiko, who was on the list of beneficiaries of the Tegeta escrow account billions, said the scandal has not tarnished his image as Honorary Consul for Botswana in Tanzania.

 

9 years ago

Habarileo

Nyosso ajitetea

MCHEZAJI wa timu ya Mbeya City, Juma Said maarufu Nyosso amekitaka Chama cha Wachezaji wa Soka Tanzania (SPUTANZA), kumsaidia katika kupata haki yake. Beki huyo wa kati amefungiwa na Kamati ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) saa 72 inayofuatilia mwenendo wa Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza kutokana na kitendo cha utovu wa nidhamu alichoonesha katika mchezo wa timu yake hiyo dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Azam Complex hivi karibuni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kaseja ajitetea

KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amejitetea na kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe, akisema ni hali ya kimchezo. Akizungumza baada ya mechi hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Cassim Mganga ajitetea

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Kassim Mganga ‘Cassim’ amesema alishindwa kusambaza video ya wimbo wake wa ‘I Love You’ kutokana na audio kufanya vizuri na kutamba kila kona....

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Yona ajitetea, amtaja Mkapa


Na mwandishi wetu
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona, ameileza mahakama kuwa mchakato wa kumpata mkaguzi wa madini ya dhahabu ulifuata utaratibu zote na kusimamiwa na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Yona ambaye jana alipanda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuanza kujitetea, alidai mwaka 2002 kulikuwa na malalamiko mengi kuhusu mapato ya dhahabu iliyokuwa ikichimbwa na kampuni tano za kigeni.
Akiongozwa na wakili wake Elisa Msuya mbele ya Jopo linaloongozwa na Jaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani