Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dk. Kamani: Wataalamu SUA wainueni wavuvi, wafugaji

“KUNA kila sababu kwa sekta ya mifugo na uvuvi kuwa na mchango mkubwa wa kuchangia pato la taifa na kuwainua wananchi wanaojihusisha na shughuli hizo kibiashara.” Hayo ni maneno ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kamani: Nitaleta mabadiliko kwa wafugaji, wavuvi

WAZIRI wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Dk Titus Kamani amesema amebebeshwa mzigo mzito kuongoza wizara hiyo, kutokana na mtikisiko mkubwa ulioko katika wizara hiyo, unaosababishwa na kukithiri kwa migogoro baina ya wafugaji na wakulima.

 

10 years ago

Habarileo

Wanasayansi, wataalamu 100 kukutana SUA

CHUO Kikuu cha Kilimo (SUA) na kile cha Marekani katika mji wa Ohio (OSU), kinatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa siku tatu, utakaokutanisha wanasayansi na wataalamu wa biashara ya kilimo 100 kutoka mataifa mbalimbali.

 

10 years ago

Michuzi

Dk. KAMANI AFUNGUA SEMINA YA PPF NA WAVUVI - UKEREWE

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dk Titus. M. Kamani (Mb) akifungua semina ya PPF kwa wavuvi wa Ukerewe iliyofanyika Wilayani Ukerewe hivi karibuni. Kushoto kwake ni Meneja wa PPF Kanda ya Ziwa Bw. Meshack Bandawe na kulia kwake ni Katibu Tawala Wilaya ya Ukerewe Bi. Mariam Mapunda. Katibu Tawala Wilaya ya Ukerewe Bi. Mariam Mapunda akizungumza wakati wa semina ya PPF kwa wavuvi wa Ukerewe. Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Temeke Bw. Mapunda. Meneja wa PPF Kanda ya Ziwa Bw....

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI KAMANI AFUNGUA SEMINA YA VIONGOZI WA WAVUVI WILAYANI UKEREWE


"Ndugu Meneja wa Kanda, napenda kuupongeza Mfuko wa Pensheni wa PPF ambao unatekeleza mojawapo ya sera zake ya kuhakikisha sekta isiyo rasmi inafikiwa kama ilivyo kwa sekta nyingine za uchumi hapa nchini. Hii itaongeza pato la Taifa hivyo kuzidi kuboresha maendeleo ya Watanzania kwa ujumla na kupunguza umaskini. Napenda kuwaambia kuwa kwa kuandaa semina hii muhimu katika eneo ambalo mimi mwenyewe nalisimamia imenipa faraja sana kwa kuona jinsi Mfuko huu wa PPF unavyowajali sekta zote za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamani apania wanaodhulumu wafugaji

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amesema atapambana na majambazi na wanaodhulumu wavuvi na wafugaji ili kukomesha tabia hiyo. Alisema hayo juzi alipokuwa akiwahutubia mamia ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima, wafugaji wampongeza Kamani

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amepokewa na ujumbe mzito kutoka kwa Chama cha Wavuvi na Wafugaji waliofika mkoani hapa. Dk. Kamani juzi alifanyiwa sherehe za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. KAMANI: Wafugaji watarajie sikio sikivu

DK. Titus Kamani, ni Waziri mpya wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambaye amerithi mikoba ya Dk. Mathayo David aliyeng’olewa kwa shinikizo la Bunge kutokana na kutowajibika ipasavyo wakati wa...

 

10 years ago

Michuzi

DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani, amekabidhi mikopo ya Ng’ombe wa maziwa themanini na tatu (83) kwa kikundi cha wafugaji cha Somangira walioko Kigamboni wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Ng’ombe hao ambao wamenunuliwa kwa mkopo uliotolewa na Covenant Bank wana uwezo wa kuzalisha maziwa zaidi ya Lita 20 kwa siku. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo Waziri Kamani ametanabaisha  kuwa mikopo ya aina hiyo italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya mifugo.
“Kitendo cha...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi  wa Covenant Bank,  Mama Sabetha Mwambenja, akimpokea  Waziri  wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr, Titus Kamani, wakati akiwasili katika hafla ya kukabidhi Ng’ombe 83 wa Maziwa kwa wafugaji wadogo wa Kikundi cha Somangira walioko Kigamboni Jijini Dar es Salaam, Ng’ombe hao wamenunuliwa kwa Mkopo kutoka Covenant Bank. Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Somangira, Kigamboni Jijini Dar es Salaam katika hafla ya kukabidhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani