Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamani apania wanaodhulumu wafugaji

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amesema atapambana na majambazi na wanaodhulumu wavuvi na wafugaji ili kukomesha tabia hiyo. Alisema hayo juzi alipokuwa akiwahutubia mamia ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima, wafugaji wampongeza Kamani

WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amepokewa na ujumbe mzito kutoka kwa Chama cha Wavuvi na Wafugaji waliofika mkoani hapa. Dk. Kamani juzi alifanyiwa sherehe za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DK. KAMANI: Wafugaji watarajie sikio sikivu

DK. Titus Kamani, ni Waziri mpya wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambaye amerithi mikoba ya Dk. Mathayo David aliyeng’olewa kwa shinikizo la Bunge kutokana na kutowajibika ipasavyo wakati wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kamani: Wataalamu SUA wainueni wavuvi, wafugaji

“KUNA kila sababu kwa sekta ya mifugo na uvuvi kuwa na mchango mkubwa wa kuchangia pato la taifa na kuwainua wananchi wanaojihusisha na shughuli hizo kibiashara.” Hayo ni maneno ya...

 

11 years ago

Habarileo

Kamani: Nitaleta mabadiliko kwa wafugaji, wavuvi

WAZIRI wa Uvuvi na Maendeleo ya Mifugo, Dk Titus Kamani amesema amebebeshwa mzigo mzito kuongoza wizara hiyo, kutokana na mtikisiko mkubwa ulioko katika wizara hiyo, unaosababishwa na kukithiri kwa migogoro baina ya wafugaji na wakulima.

 

10 years ago

Michuzi

DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dr. Titus Kamani, amekabidhi mikopo ya Ng’ombe wa maziwa themanini na tatu (83) kwa kikundi cha wafugaji cha Somangira walioko Kigamboni wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam.
Ng’ombe hao ambao wamenunuliwa kwa mkopo uliotolewa na Covenant Bank wana uwezo wa kuzalisha maziwa zaidi ya Lita 20 kwa siku. Akizungumza na wakazi wa eneo hilo Waziri Kamani ametanabaisha  kuwa mikopo ya aina hiyo italeta mapinduzi makubwa katika sekta ya mifugo.
“Kitendo cha...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI DR. KAMANI AKABIDHI NG'OMBE 83 WA MAZIWA KWA WAFUGAJI WADOGO KIGAMBONI, DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi  wa Covenant Bank,  Mama Sabetha Mwambenja, akimpokea  Waziri  wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr, Titus Kamani, wakati akiwasili katika hafla ya kukabidhi Ng’ombe 83 wa Maziwa kwa wafugaji wadogo wa Kikundi cha Somangira walioko Kigamboni Jijini Dar es Salaam, Ng’ombe hao wamenunuliwa kwa Mkopo kutoka Covenant Bank. Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dr. Titus Kamani, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Somangira, Kigamboni Jijini Dar es Salaam katika hafla ya kukabidhi...

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Lukuvi atangaza mapambano dhidi ya wanaodhulumu ardhi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, akijibu hoja za kamati na wabunge mjini Dodoma. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akijibu hoja Bungeni kuhusu wizara yake.Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akijibu hoja za kamati hoja za kamati.Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Said Nkumba akiwasilisha taarifa ya kamati yake. Picha na Hussein Makame-MAELEZO,Dodoma.
Hussein Makame-MAELEZO,Dodoma
WAZIRI wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa apania makubwa

MGOMBEA urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chadema anayebeba pia jahazi la vyama vya CUF, NCCR-Mageuzi na NLD chini ya mwavuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa ameahidi kushughulikia kero za wananchi kwa haraka pindi akiingia madarakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani