Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasayansi, wataalamu 100 kukutana SUA

CHUO Kikuu cha Kilimo (SUA) na kile cha Marekani katika mji wa Ohio (OSU), kinatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa siku tatu, utakaokutanisha wanasayansi na wataalamu wa biashara ya kilimo 100 kutoka mataifa mbalimbali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Kamani: Wataalamu SUA wainueni wavuvi, wafugaji

“KUNA kila sababu kwa sekta ya mifugo na uvuvi kuwa na mchango mkubwa wa kuchangia pato la taifa na kuwainua wananchi wanaojihusisha na shughuli hizo kibiashara.” Hayo ni maneno ya...

 

11 years ago

Michuzi

Wanasayansi Duniani kukutana Dar es salaam katika kongamano la 25 la Wajiolojia

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania (GST ) na Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya makongamano ya Wajiolojia Afrika na wanasayansi vijana Duniani, Profesa Abdulkarim Mruma (katikati) akisisitiza jambo wakati akiongea na waandishi wa habari kuhusu kongamano la 25 la Wajiolojia Afrika na mkutano wa tatu wa vijana wanasayansi kutoka nchi mbalimbali duniani. Makongamano hayo yanatarajiwa kufanyika tarehe 11- 16 Agosti, 2014 jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha...

 

11 years ago

Michuzi

Wataalamu wa kilimo wilayani Handeni kukutana kuweka mikakati ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara

Na Mohammed Mhina, HandeniWataalamu wa kilimo wilayani Handeni katika mkoa wa Tanga, kesho watakutana kuweka mezani mapendekezo ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara kwa lengo la kuinua kipato cha mwananchi mmoja mmoja wilayani humo.  Mkuu wa wilaya hiyo Bw. Muhingo Rweyemamu, amesema leo kuwa katika mkutano huo, wataalamu hao watapitia itifaki mbalimbali zilizofikiwa na kuanisha zao mbadala kwa biashara kati ya korosho na ufututa ama yote mawili badala ya kutegemea mahindi pekee kwa...

 

5 years ago

Michuzi

Wataalamu wa Sekta ya Rasilimali Watu na Wadau wa Sekta ya Uchumi Kukutana Mtandaoni

Wakati janga la Corona limeathiri njia za ufanyaji kazi duniani kote, kampuni nyingi duniani zimelazimika kutafuta namna mpya ya ufanyaji kazi. Nchini Tanzania, kampuni ya BrighterMonday Tanzania imeandaa semina ya mtandaoni itakayowakutanisha wataalamu katika sekta ya Rasilimali Watu pamoja na wadau katika sekta ya biashara kujadili mchango wa Rasilimali Watu katika kuhakikisha Uendelevu wa Biashara wakati wa mlipuko wa virusi Corona.  
Semina hiyo itafanyika Jumanne, Mei 12, 2020 kwa njia...

 

9 years ago

Vijimambo

DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...

 

10 years ago

Mwananchi

Machumu: Sua imenivusha

Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu amekishukuru Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kumvusha kitaaluma hatua iliyomwezesha kuwa katika nafasi aliyonayo sasa.

 

9 years ago

Habarileo

SUA yafanya mageuzi ya muundo

CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kipo katika mageuzi ya muundo wake kutokana na kuandaliwa kwa mpango utakaoshusha madaraka katika ngazi za chini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Masumbwi Tanzania yasua sua

Mashindano ya taifa ya masumbwi nchini Tanzania huenda yakasogezwa mbele mpaka mwezi July.

 

10 years ago

Habarileo

Pinda avutiwa na kasi ya mabadiliko SUA

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga kuongeza thamani ya mazao ya kilimo (Agri-processing).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani