Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda avutiwa na kasi ya mabadiliko SUA

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga kuongeza thamani ya mazao ya kilimo (Agri-processing).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AVUTIWA NA KASI YA MABADILIKO SOKOINE

*Maprofesa waomba kuongezewa muda wa kustaafu
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga uongezaji thamani wa mazao ya kilimo (Agri-processing).
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Oktoba 9, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya SUA mara baada ya kutembelea chuo hicho na kukagua utekelezaji wa mradi wa Sayansi na Teknolojia ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Kikwete akabidhi ofisi, avutiwa na kasi ya Magufuli

Rais mstaafu Jakaya Kikwete amemwagia sifa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kuwa utendaji wake wa kazi wa kushtukiza akisema; “umewapa msisimko wananchi” na kumtaka kuendelea nao ili kutatua matatizo yanayoikabili nchi.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU PINDA ATEMBELEA BANDA LA PSPF,AVUTIWA NA NAMNA WATU WALIVYOHAMASIKA KUJIUNGA NA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI

 Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda akijadiliana jambo na Maafisa wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF Bw. Abdul Njaidi (katikati) na Gasper Lyimo jana alipotembelea banda la PSPF katika maonesho ya 39 ya sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam. Mheshimiwa Pinda alifurahishwa na juhudi za PSPF za kuhakikisha idadi kubwa ya watanzania wanaingia katika hifadhi ya jamii. Mhadisi Alli Shanjirwa akitoa maelezo kwa mmoja wa wateja waliotembelea katika banda ya PSPF katika maonesho yanayoendelea...

 

9 years ago

Michuzi

Waraghabishi wakoleza kasi ya mabadiliko wilayani Kishapu

 Watendaji wa Kituo cha Maendeleo cha Jamii ya Uchunga wilayani Kishapu wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi mbele ya jengo la kituo hicho likiwa limekamilika kutokana na michango yao ya fedha na nguvu kazi. 
Na Krantz Mwantepele ,Kishapu 
Mabadiliko katika jamii yoyote kwa kiasi kikubwa huchangiwa na ongezeo la mahitaji ya binadamu katika mambo mbalimbali. Kwamba, kadri dunia inavyopitia mabadiliko, kadiri ile ile changamoto, mahitaji na huduma katika jamii husika huongezeka.
Ili kufikia...

 

9 years ago

Habarileo

Ataka kasi ya mabadiliko kwa maofisa wa jeshi TMA

MKUU wa vikosi vilivyo chini ya Makao Makuu ya Jeshi la Ulinzi wa Taifa (JWTZ), Meja Jenerali, Issa Nassoro amewataka maofisa wa jeshi katika Chuo cha Kijeshi Monduli (TMA) kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia na mawasiliano duniani kuboresha utendaji kazi wao wa kila siku.

 

11 years ago

Dewji Blog

Pinda afungua mkutano wa mabasi yaendayo kasi

PG4A1223

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akifungua Mkurano wa Majadiliano wa Kutangaza Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (Dar Rapid Transit) kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam,  Juni 3, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1241

 Waziri Mkuu,, Mizengo Pinda akizungumza na   Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia nchini, Bw. Philippe Dongier baada ya kufungua  Mkutano waMajadiliano wa kutangaza Mradi wa Mabasi yaendayo  haraka kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

PG4A1269

Waziri Mkuu,...

 

11 years ago

Habarileo

Mama Pinda asema Vicoba inakua kwa kasi

MKE wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda amesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayokuwa kwa kasi nchini ni Benki za Vijijini (Vicoba). Alisema hayo juzi Kimanga, Dar es Salaam alipokuwa akizindua rasmi muungano wa Vicoba wenye vikundi 71 vyenye wanachama 600, ambao ndio waliopo katika mchakato wa Muungano huo.

 

11 years ago

Michuzi

MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA

MKE WA WAZIRI MKUU Mama Tunu Pinda wataalamu wamesema miongoni mwa mifumo ya fedha inayo kuwa kwa kasi hapa nchini ni VICOBA.
Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...

 

11 years ago

CloudsFM

TANZANIA YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI KATIKA USAFIRI WA MABASI YAENDAYO KASI - PINDA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi za kwanza katika Jumuiya ya Afrika Mashariki kuingia kwenye ubia na sekta binafsi katika mradi mkubwa wa usafirishaji abiria.\Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Juni 3, 2014) wakati akifungua Mkutano wa Majadiliano yenye lengo la kuutangaza mradi wa mabasi yaendayo kasi kwenye ukumbi wa Mlimani City. Mkutano huo wa siku mbili, utamalizika kesho (Jumatano, Juni 4, 2014).
Waziri Mkuu amesema kutèkelezwa kwa mradi huo kutatoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani