Kikwete akabidhi ofisi, avutiwa na kasi ya Magufuli
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amemwagia sifa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli kuwa utendaji wake wa kazi wa kushtukiza akisema; “umewapa msisimko wananchi†na kumtaka kuendelea nao ili kutatua matatizo yanayoikabili nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo11 Oct
Pinda avutiwa na kasi ya mabadiliko SUA
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga kuongeza thamani ya mazao ya kilimo (Agri-processing).
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XAz7ZJS0pnY/VDexfYlcFXI/AAAAAAACsjc/fQgK7HTS2bI/s72-c/657998666.jpg)
WAZIRI MKUU AVUTIWA NA KASI YA MABADILIKO SOKOINE
![](http://1.bp.blogspot.com/-XAz7ZJS0pnY/VDexfYlcFXI/AAAAAAACsjc/fQgK7HTS2bI/s1600/657998666.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema amevutiwa na kasi ya mabadiliko katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) na hasa uanzishwaji wa kozi mpya zinazolenga uongezaji thamani wa mazao ya kilimo (Agri-processing).
Ametoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Oktoba 9, 2014) wakati akizungumza na wahadhiri, wakufunzi, wanafunzi na wanajumuiya ya SUA mara baada ya kutembelea chuo hicho na kukagua utekelezaji wa mradi wa Sayansi na Teknolojia ya...
11 years ago
Habarileo06 Jul
Kikwete avutiwa na maonesho Sabasaba
RAIS Jakaya Kikwete ametembelea Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Sabasaba kwa na kusema ameridhishwa na ubora wa bidhaa za Tanzania ulivyoongezeka, ikiwa ni pamoja na ufungashaji wa kisasa.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Rage akabidhi ofisi Simba
HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, jana alikabidhi rasmi ofisi Makao Makuu ya klabu hiyo kwa Rais Evans Aveva na kamati yake ya utendaji, ikiwamo mikataba mbalimbali iliyosaini...
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s1600/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
RAIS MAGUFULI AKABIDHIWA RASMI OFISI IKULU NA RAIS MSTAAFU KIKWETE JANA
10 years ago
Habarileo01 Feb
Muhongo akabidhi ofisi kwa Simbachawene
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amekabidhi rasmi wizara hiyo kwa waziri wa sasa, George Simbachawene, aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Tido Mhando akabidhi ofisi MCL
9 years ago
Habarileo30 Dec
Nyalandu akabidhi ofisi, Maghembe aahidi kazi
WATENDAJI katika Wizara ya Maliasili na Utalii wameombwa kumpa ushirikiano Waziri mpya wa wizara hiyo, Profesa Jumanne Maghembe ili aweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MEYA MANISPAA YA IRINGA ALIYENG'OLWA AKABIDHI OFISI
![](https://1.bp.blogspot.com/-g2i-0dkqSIk/XoMs-2epwNI/AAAAAAAC2JQ/CHn97PvSFh8GM1ucO06UBzANocHstQQDQCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Kimbe ametoa ufafanuzi huo kwa waandishi wa habari waliofika ofisini kwake kutaka kujua kwanini anaendelea na kazi licha ya kuondolewa madarakani siku chache zilizopita.
Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Hamid Njovu amesema kanuni zinamtaka meya huyo kuondoka ofisini ndani ya siku 30 na hivyo anatakiwa kukabidhi ofisi na gari mara...