Kikwete avutiwa na maonesho Sabasaba
RAIS Jakaya Kikwete ametembelea Maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Sabasaba kwa na kusema ameridhishwa na ubora wa bidhaa za Tanzania ulivyoongezeka, ikiwa ni pamoja na ufungashaji wa kisasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
WANANCHI WAFURAHI KUMUONA RAIS KIKWETE AKIJUMUIKA NAO KWENYE MAONESHO YA SABASABA
11 years ago
Michuzi.jpg)
Mama Salma Kikwete atembelea maonesho ya sabasaba jijini Dar es salaam leo
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE ALIPOKABIDHIWA KITAMBULISHO NAMBA 1 CHA USHIRIKI KATIKA MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA SABASABA (DITF) KUTOKA MAXMALIPO .

Rais. Jakaya Mrisho alipata Nafasi ya kuzungumza na Maafisa wa Maxmalipo Juu ya Mfumo wa Kieletroniki wa Ticket (e-Ticketing System) uliofungwa na Maxmalipo Katika viwanja Vya Sabasaba. Pia Mheshimiwa Rais alijionea Jinsi Mfumo huu unavyodhibiti na kuboresha...
9 years ago
Mwananchi13 Nov
Kikwete akabidhi ofisi, avutiwa na kasi ya Magufuli
11 years ago
Habarileo02 Jul
Balozi Seif kufungua maonesho ya Sabasaba leo
WAKATI maonesho ya Sabasaba yakiendelea kwenye Viwanja vya Mwalimu Nyerere, barabara ya Kilwa, Dar es Salaam, leo yanatarajiwa kufunguliwa rasmi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Dk Seif Ali Idd.
11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA ATEMBELEA MAONESHO YA BIASHARA YA SABASABA
.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jul
Viongozi waipongeza kampuni ya TTCL Maonesho ya Sabasaba
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembelea Banda la TTCL katika maonesho ya 38 ya Kimataifa ya Kibiashara katika viwanja vya Sabasaba. Mama Salma katika mazungumzo yake aliipongeza TTCL kwa kazi nzuri inayoifanya katika kuleta maendeleo nchini.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi iliyowasilishwa na Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (Mb) akizungumza na baadhi ya wafanyakazi wa Banda la TTCL kwenye viwanja vya maonyesho ya TANTRADE yanayoendelea jijini...
11 years ago
MichuziTPDC yaibuka kidedea kwenye maonesho ya Sabasaba
Shirika la Maendeleo ya Petroli Nchini (TPDC) limeibuka kidedea na kukabidhiwa kikombe cha ushindi katika kundi la mashirika ya petroli na mafuta nchini baada ya kuyabwaga chini mashirika megine mengi yaliyokuwa yanawania kikombe hicho katika maonesho ya kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere vilivyopo jijini Dar es Salaam.
Kikombe hicho kilikabidhiwa na mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo Makamu wa Pili wa Rais wa...
11 years ago
MichuziTBL YATWAA TUZO YA UDHAMINI MAONESHO YA SABASABA DAR