Namuogopa Abdulrahman Kinana — Absalom Kibanda
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye wakiendelea na safari pamoja na wananchi kwenye ziara ya kukagua miradi mbalimbali mkoani Tanga.
Na Absalom Kibanda
Kwa mara nyingine tena, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeandika historia mpya baada ya kufanya mabadiliko mazito katika safu yake ya uongozi wa kitaifa.
Ni mabadiliko mazito si kwa sababu tu yamefanywa na CCM ambayo imekuwa na rekodi ya kubadili sura za watendaji wake kwa namna na kwa njia tofauti, bali kutokana na ukweli...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Sep
Abdulrahman Kinana
Na Abdulrahman Kinana “ Mwaka 2013 wanawake wawili wakiwa ni waalimu wa kujitolea, Katie Gee na Kirstie Trup, wakati huo wote wakiwa ni matineja- walifikwa na shambulio la kutisha wakiwa Zanzibar, ambayo ni sehemu ya Jamhuri […]
The post Abdulrahman Kinana appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziNDUGU ABDULRAHMAN KINANA AENDELEA NA ZIARA RUFIJI
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Kufichua mafisadi salama ya CCM- Abdulrahman Kinana
10 years ago
Michuzi02 Oct
NDUGU ABDULRAHMAN KINANA SHAMBANI KIJIJI CHA KWEMNYEFU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima na kupanda mahindi katika shamba kijijini Kwemnyefu Kata ya Mpapayu wilayani Mheza mkoani Tanga pamoja na wananchi wakati alipotembelea shamba hilo na kukagua shughuli za kilimo cha mkono, Katika shughuli hiyo katibu mkuu huyo ameshirikiana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi wakiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 na kuhimiza wananchi kushiriki katika shughuli za...
10 years ago
GPL![](https://dub123.mail.live.com/Handlers/ImageProxy.mvc?bicild=&canary=Yx6pGuqgha9LzOWgDI6oj0GMsKLYJXmDOJajnPfK0kY%3d0&url=http%3a%2f%2f3.bp.blogspot.com%2f-V9xJ4H_nIyw%2fVHDZYuXGmlI%2fAAAAAAAAAFI%2fsZhgTxiK9y0%2fs1600%2f2.jpg)
ABDULRAHMAN KINANA: MUDA WA KULINDANA HAUPO TENA
10 years ago
Dewji Blog27 Jan
Abdulrahman Kinana: Wafuasi wa Chama cha CUF wako kifungoni
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wana CCM wa maskani ya Mnarani Wilaya ya Micheweni na kuzungumza na wanachama wa maskani hiyo, Awali wakisoma taarifa yao mbele ya Katibu Mkuu wa CCM wanamaskani hao. Wamesema walihama kutoka Chama cha CUF na kujiunga na CCM lakini toka wamehama kutoka chama hicho wamekuwa wakinyanyaswa sana na kuzuiwa kufanya kazi ya uvuvi ikiwa ni pamoja na kutishiwa maisha na kuitwa makafiri na wafuasi wa CUF jambo ambalo linawasikitisha...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/--SBg1i8_S2A/VQbtubDB40I/AAAAAAAAB_s/00upnJYCBmE/s72-c/mbili.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM Arusha - Komrade Abdulrahman Kinana
![](http://4.bp.blogspot.com/--SBg1i8_S2A/VQbtubDB40I/AAAAAAAAB_s/00upnJYCBmE/s1600/mbili.jpg)
Kaika Ole Telele (kulia) na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Arusha, Onesmo Ole Nangole.
![](http://4.bp.blogspot.com/-5SOMRzf5D-I/VQbtv2t3abI/AAAAAAAAB_0/AntViu3F_Qc/s1600/nane.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zkTDHcMFBgo/VQbtwyiunuI/AAAAAAAAB_8/wz4rvrAtRPo/s1600/saba.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bbvgaCPI8o/VQbtyBJeWvI/AAAAAAAACAE/Z8Jwz3FfG-g/s1600/sita.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10