WARAKA WA ABSALOM KIBANDA KWA JK
 Absalom Kibanda.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Oct
Namuogopa Abdulrahman Kinana — Absalom Kibanda
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye wakiendelea na safari pamoja na wananchi kwenye ziara ya kukagua miradi mbalimbali mkoani Tanga.
Na Absalom Kibanda
Kwa mara nyingine tena, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeandika historia mpya baada ya kufanya mabadiliko mazito katika safu yake ya uongozi wa kitaifa.
Ni mabadiliko mazito si kwa sababu tu yamefanywa na CCM ambayo imekuwa na rekodi ya kubadili sura za watendaji wake kwa namna na kwa njia tofauti, bali kutokana na ukweli...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Waraka wa Warioba kwa Wasira
10 years ago
Mtanzania04 May
Mwaka 2015 mwisho wa manyanyaso kwa waandishi-Kibanda
Na Ramadhan Libenanga, Morogoro
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, amesema mwaka 2015 unahitimisha vitendo vya ukatili na manyanyaso kwa waandishi wa habari nchini.
Kauli hiyo ameitoa jana mjini hapa katika Kongamano la Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari duniani, ambalo liliwashirikisha wadau wa sekta hiyo.
Kibanda, alisema katika kipindi cha uongozi wa Serikali ya awamu ya nne, sekta ya habari nchini imeshuhudia kuibuka na kushamiri kwa vitendo vya kikatili...
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Ikulu yatoa waraka kwa wagombea
Na Kulwa Karedia
IKULU imetoa waraka mpya kwa watumishi wa umma wenye nia ya kuwania nafasi mbalimbali za kisiasa, ikiwamo urais, ubunge na udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.
Kwa mujibu wa waraka huo, mtumishi wa umma anayetaka kuwania moja ya nafasi hizo za kisiasa, atalazimika kuacha kazi na kulipwa mafao yake, endapo jina lake litateuliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kama mgombea.
Waraka huo wenye Kumbukumbu CAB 157/547/01/47 ukiwa na kichwa cha habari ‘Kuhusu utaratibu kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Waraka maalumu kwa wabunge wa Bunge la Katiba
SALAMU kwenu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Kwanza nianze kuwaambia msidhani ubunge ni bonge la dili. Ni nafasi tu katika mgawanyo wa kazi, hivyo wale wanaoonekana wanajishaua waache mara...
10 years ago
VijimamboUtiaji saini waraka wa maadili ya uchaguzi kwa vyama vya siasa
10 years ago
Michuzi16 Jul
UTIAJI SAINI WARAKA WA MAADILI YA UCHAGUZI KWA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Michuzileo ni hepi besdei ya kuzaliwa mtoto Benedickt wa mdau ernest makulilo - waraka toka kwa baba mtu