STEVE NYERERE AJIUZULU URAIS BONGO MOVIE
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Aliyekuwa Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere. Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere ametangaza kujiuzulu cheo hicho kupitia ukurasa wake wa instagram. Amedai kuna mbinu chafu dhidi yake.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9h2OjxKkWdl4jt0HBffYRzT3pwilu5tWjzCQo-lbb8a1IdJ*QU0zwlgKjErKsHY1Dqgl80c-vfDVyjJJseH*jU6vvmkOEBE/nyerere.jpg)
STEVE NYERERE: BONGO MOVIE WATANIKUMBUKA!
5 years ago
Bongo514 Feb
Bongo Movie Tuacheni Visingizio – Steve Nyerere
Baada ya maandamano ya wasanii wa filamu nchini yaliyofanyika Jumatano hii katika mtaa wa Aggrey Kariakoo, msanii wa tasnia hiyo Steve Mengele Nyerere amefunguka kuhusu tukio hilo.
Akiongea na waandishi wa habari, Steve ameeleza kuwa sababu ya yeye kutokuungana na wasanii wenzake kuandamana ni kwa kuwa jambo hilo halioni kama lina tija kwake.
“Binafsi ninalipinga hili, wasanii tunataka kutumika ndivyo sivyo. Mimi siwezi tu kuambiwa kuwa kuna maandamano nikaenda.
“Tunavyosema filamu za nje...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Steve Nyerere: Nitavunja makundi Bongo Movie
MWENYEKITI mpya wa klabu ya Bongo Movie, Steve Mengele ‘Steve Nyerere’, ameahidi kuvunja tofauti za makundi na tabaka la wasanii wakongwe na chipukizi na kuwa kitu kimoja katika kupigania mafanikio...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dbDz8bz8Q7mZCoKTTMh*VvXxUbdD5LB2BOMi3IE35O36kBXPhgzolw6wH6Digg8INuTjh7yTo-bzzLs2zhZhqnI887IogZ7b/STEVE.jpg)
STEVE NYERERE KIMENUKA TENA BONGO MOVIE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZCmOwBe3EYzSANXk8R-MYo-t-SG57qf0lZH4DPzx2WTFaFYuWKhrEkgYa-pwAwSamXvyGCa*3bSQkrAj-4Hxsfsk/2.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AGOMA KUWATAJA MASHOGA BONGO MOVIE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPOVBfBiUY-LXeaSGTwnODM7*sroNP-dyMqSeR5lK6x4RhtdA2itMsePmNL-4gplbEhMBRM16kQRcc5iZSnPIZc4/bimwenda.jpg)
BI MWENDA AMEMTAKA RAIS WA BONGO MOVIE UNITY AJIUZULU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJBoKitvn9UUzP5wUrgymkIAnM4wza*KgBjCBHBTQg3*PMpL7l4fondLpx9IrMh-KL5x7z0kBziVWqixpwoJsKN/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE: WASANII FEKI WANAICHAFUA BONGO MUVI
10 years ago
Bongo Movies12 Jun
Steve Nyerere Awapa Makavu Baadhi ya Mastaa Wenzake wa Bongo Movies
Staa wa bongo movies, Steve Mengere ‘ Steve Nyerere’ amesema hana mpango na shutuma mbalimbali zinazosemwa na baadhi ya wasanii wenzake kwani Mungu atamlipa kutokana na uvumilivu wake
Steve nyerere aliyasema hayo na kuweka wazi kuwa kuna watu wanamchafua ambao hawana ishu yoyote hapa mjini zaidi ya kutupia picha kwenye mitao ya kijamii na kujinadi kwa nyumba nzuri na na magari ya kuazima.
“ Unajua kuna mambo kibao ya kufanya katika jamii lakini watu hawayaoni zaidi ya majungu tu hao...