STEVE NYERERE ACHANGISHA PESA ZA MAZISHI YA AISHA MADINDA
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bongo Unity, Steven Mengere 'Steve Nyerere' (kulia) na Lwiza Mbutu (katikati) wakihesabu michango waliyofikisha kwa ajili ya kupata maturubai wakiwa katika hospitali ya Mwanayamara jijini Dar es Salaam. Mtoto wa Marehemu Aisha, Naomi akiwa katika majonzi.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Polisi wazuia mazishi ya Aisha Madinda hadi kesho
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s72-c/IMG_1612.jpg)
Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s1600/IMG_1612.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScu3MyqRzM-UBaGU0X5Qj8APzZ89ce5Z2TdXRyWKSsZr0NHo5Kdqi8DTO80BqWWXziR4POG4NdY1WO0Dn6wYRipF/steve.jpg)
STEVE NYERERE AANIKA SABABU ZA KUJITOLEA MSIBA WA AISHA
10 years ago
Bongo Movies14 Jun
Picha: Mazishi ya Baba wa Msanii Steve Nyerere
Hizi ni baadhi ya picha za mazishi ya baba yake staa wa Bongo Movies, Steve Nyerere yaliyofanyika leo makaburi ya Kinondoni. Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihibidiwe Amein.
Picha kwa hisani ya Le Mutuz on Instagram
9 years ago
Bongo519 Nov
Steve Nyerere: Nilimwambia Magufuli kuwasaidia wasanii wa filamu ni kupoteza pesa
![11351837_431015323755764_1594616645_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11351837_431015323755764_1594616645_n-300x194.jpg)
Aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Bongo Movie Club, Steve Nyerere amesema aliulizwa kwa zaidi ya mara sita na Rais Dk John Magufuli kuhusu nsaada wanaouhitaji, lakini amedai alishindwa kumjibu kutokana na wasanii wengi kutojitambua.
Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV, Steve alisema alimwambia Magufuli asipoteze pesa ya serikali kuwasaidia wasanii wa filamu.
“Sikatai,” alisema Steve. “Nilishamwambia mheshimiwa rais, utapoteza pesa zako, nilisha mwambia mstaafu na huyu mpya...
10 years ago
Dewji Blog16 Jun
DC Makonda aongoza mamia mazishi ya Baba wa msanii Steve Nyerere
Marehemu Francis Festus Mengele, enzi za uhai wake.
Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere, Grace Mengele (katikati), akiwa na wadogo zake Steve Nyerere wakati akiwasili makaburi ya Kinondoni kwa mazishi ya mpendwa wao, Francis Mengele.
Watoto wa marehemu na dada zake wakiwa kwenye ibada ya maziko makaburi ya Kinondoni.
Ibada ya maziko ikiendelea.
Hali ilivyokuwa...
10 years ago
GPLPAUL MAKONDA AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA WA STEVE NYERERE
10 years ago
MichuziMAKONDA AONGOZA MAMIA MAZISHI YA BABA YAKE MSANII STEVE NYERERE
BOFYA HAPA KUONA PICHA...