Mucoba Mufindi yatoa mikopo ya bil. 10/-
BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba) iliyoko wilayani Mufindi, Iringa, imetoa mikopo ya sh bilioni 10 kwa wajasiriamali 33,000 ili waweze kuboresha miradi yao na kujiendeleza kiuchumi. Meneja wa benki hiyo,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2014: Mbaspo, Mucoba hapatoshi fainali
MABINGWA watetezi wa Kombe la Muungano Mufindi, Mbaspo Academy ya jijini Mbeya, imeungana na Benki ya Wananchi Mufindi (Mucoba), kucheza fainali ya mashindano hayo mwaka huu. Kwa mujibu wa Mratibu...
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Wanawake Mufindi wamwangukia , Mwenyekiti wa UWT Mufindi Marcelina Mkini ubunge jimbo la Mufindi kusini
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
Na MatukiodaimaBLOG
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s72-c/DSC_0259.jpg)
WANAWAKE MUFINDI WAMWANGUKIA ,MWENYEKITI WA UWT MUFINDI MARCELINA MKINI UBUNGE JIMBO LA MUFINDI KUSINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-u65NsD7QSYA/VWnTY5w_fEI/AAAAAAAB9Yw/gtg-Q74JniY/s640/DSC_0259.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-g4xGryBONpI/VWnSVrzOw2I/AAAAAAAB9YQ/2P4jJNZnBx8/s640/DSC_0245.jpg)
WAKATI joto la uchaguzi mkuu likiendelea kushika kasi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa wanachama wake kujitokeza kutia nia ya kuwania urais...
9 years ago
Habarileo01 Sep
Vijana watengewa bil.1/- za mikopo
MANISPAA ya Kinondoni imetenga fedha kiasi cha Sh bilioni moja ambazo zitagawiwa katika kata 10 kwa ajili ya mikopo isiyokuwa na masharti kwa vijana. Hayo yalisemwa na Mtahiki Meya wa Kinondoni Yusuph Mwenda alipokuwa akimnadi mgombea wa Ubunge Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Kippi Warioba kwenye viwanja vya Boko CCM jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
Bil. 512/- zarejeshwa Bodi ya Mikopo
BODI ya Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu imesema kati ya sh 1,502,620,320,764.58 zilizokopeshwa kwa wanafunzi kati ya Julai 1994 hadi Juni 30, mwaka jana ni sh 512,450,004,489.75 zilizolipwa...
10 years ago
Habarileo28 Nov
Mikopo iliyoiva ya elimu ya juu yarejesha bil. 58.6/-
HADI kufikia Septemba 30, mwaka huu, Serikali kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ilikuwa imekusanya Sh 58,565,069,731.04 kutoka kwa wanufaika 101,653 wa mikopo iliyoiva.
10 years ago
Dewji Blog23 Oct
Sweden yatoa bil. 42/- kusaidia miradi UN
Balozi wa Sweden nchini Tanzania Mh. Lennarth Hjelmaker akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya kutiliana saini makubaliano kati ya nchi ya yake na Umoja wa Mataifa ambapo wametoa fedha kusaidia miradi ya Umoja wa Mataifa kwenye ofisi za ubalozi wa Sweden jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez.(Picha na Zainul Mzige MOblog).
Na Mwandishi...
11 years ago
Habarileo14 May
BOA yatoa mikopo nafuu sekta ya afya
BENKI ya BOA Tanzania imeanza kutoa mikopo ya riba nafuu kwa sekta ya afya, ili kuwezesha zahanati, vituo vya afya na hospitali kutoa huduma bora kwa wananchi.