Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2014: Mbaspo, Mucoba hapatoshi fainali

MABINGWA watetezi wa Kombe la Muungano Mufindi, Mbaspo Academy ya jijini Mbeya, imeungana na Benki ya Wananchi Mufindi (Mucoba), kucheza fainali ya mashindano hayo mwaka huu. Kwa mujibu wa Mratibu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI

Mkuu  wa  wilaya ya Mufindi Mboni Mhita katikati  akiwa katika picha ya pamoja na   mabingwa wa mashindano ya  kombe la Muungano Mufindi timu ya Mucoba Fc ,wa kwanza kulia ni mratibu wa mashindano hayo aliyestaafu rasmi Daud Yassin na mdau mkubwa wa  soka mkoa wa Iringa Feisal AsasMkuu wa wilaya ya  Mufindi Mboni Mhita  akikabidhi kombe kwa mabingwa  timu ya MUcoba FC

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chai Bora yapiga tafu Kombe la Muungano Mufindi 2014

KAMPUNI ya Chai Bora na Benki ya Wananchi wa Mufindi (Mucoba), zimejitosa kudhamini mashindano ya Kombe la Muungano Mufindi 2004 yaliyoanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki. Kwa mujibu wa Mratibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wamwangukia mratibu Kombe la Muungano Mufindi

WADAU wa michezo wamemwomba Mratibu wa Kombe la Muungano Mufindi, Daud Yassin, kufikiria zaidi uamuzi wake wa kustaafu kuandaa mashindano hayo na kuongeza muda zaidi wa kuratibu kwa lengo ya...

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya kombe la Muungano Mufindi 2015 yaanza rasmi

Mashindano ya kombe la Muungano Mufindi yaliyofunguliwa na Naibu Waziri Mhe. Juma Nkamia, tarehe 10 mwezi huu katika  uwanja wa shule ya msingi lgowole, Mufindi, yanaendelea vyema.  Kwa mujibu wa mratibu wa michuano hiyo, Daud Yassin. Mashindano hayo yatakamilika tarehe 7 mwezi juni. Yassin kwa sasa anajitahidi kutafuta wahisani wa kuchangia zawadi za washindi, ambapo bingwa atapata cash ya shilingi milioni 5, mshindi wa pili 2.5m na mchezaji bora laki 5.  Yassin amewaomba wadau wa michezo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mucoba Mufindi yatoa mikopo ya bil. 10/-

BENKI ya Wananchi Mufindi (Mucoba) iliyoko wilayani Mufindi, Iringa, imetoa mikopo ya sh bilioni 10 kwa wajasiriamali 33,000 ili waweze kuboresha miradi yao na kujiendeleza kiuchumi. Meneja wa benki hiyo,...

 

11 years ago

Michuzi

MUCOBA FC MABINGWA MUUNGANO CUP

 Kikosi cha Mucoba Fc kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa fainali na Mbaspo Academy na kufanikiwa kunyakua kikombe cha Muungano katika mchezo uliochezwa katika uwanja wa Igowole.   Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo akimkabidhi kikombe cha ubingwa nahodha wa timu ya Mucoba Fc Emanuel Sabinus baada ya kuwafunga Mbaspo academy kwa mikwaju ya penati 7-5 katika mchezo uliochezwa uwanja wa shule ya msingi Igowole wilayani Mufindi.  Nahodha wa timu ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kambi za timu 32 Fainali za Kombe la Dunia 2014 Brazil

Kila zinapofanyika fainali za Kombe la Dunia, timu zinazoshiriki fainali hizo hupewa nafasi ya kuchagua hoteli na viwanja vya mazoezi vinavyokuwa vimeandaliwa kwa ajili ya kuweka kambi.

 

11 years ago

Mwananchi

Waafrika watano kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia 2014

Waamuzi wamechaguliwa kutokana na uwezo wao wa kuchezesha mechi, kuusoma na kuelewa mbinu za timu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani