Mashindano ya kombe la Muungano Mufindi 2015 yaanza rasmi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0OEO8xNyy3w/VVL5L-VXfkI/AAAAAAAHW94/o-wT5XCMOos/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mashindano ya kombe la Muungano Mufindi yaliyofunguliwa na Naibu Waziri Mhe. Juma Nkamia, tarehe 10 mwezi huu katika uwanja wa shule ya msingi lgowole, Mufindi, yanaendelea vyema. Kwa mujibu wa mratibu wa michuano hiyo, Daud Yassin. Mashindano hayo yatakamilika tarehe 7 mwezi juni. Yassin kwa sasa anajitahidi kutafuta wahisani wa kuchangia zawadi za washindi, ambapo bingwa atapata cash ya shilingi milioni 5, mshindi wa pili 2.5m na mchezaji bora laki 5. Yassin amewaomba wadau wa michezo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Wadau wamwangukia mratibu Kombe la Muungano Mufindi
WADAU wa michezo wamemwomba Mratibu wa Kombe la Muungano Mufindi, Daud Yassin, kufikiria zaidi uamuzi wake wa kustaafu kuandaa mashindano hayo na kuongeza muda zaidi wa kuratibu kwa lengo ya...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2014: Mbaspo, Mucoba hapatoshi fainali
MABINGWA watetezi wa Kombe la Muungano Mufindi, Mbaspo Academy ya jijini Mbeya, imeungana na Benki ya Wananchi Mufindi (Mucoba), kucheza fainali ya mashindano hayo mwaka huu. Kwa mujibu wa Mratibu...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Chai Bora yapiga tafu Kombe la Muungano Mufindi 2014
KAMPUNI ya Chai Bora na Benki ya Wananchi wa Mufindi (Mucoba), zimejitosa kudhamini mashindano ya Kombe la Muungano Mufindi 2004 yaliyoanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki. Kwa mujibu wa Mratibu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-v9YLoDDSzSs/VXkercs4ThI/AAAAAAAAAPs/5HSCqllRz1k/s72-c/mpya6.png)
MASHINDANO YA MUUNGANO YAMEFIKIA MWISHO KWA MAFANIKIO MAKUBWA SANA, MJINI MUFINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-v9YLoDDSzSs/VXkercs4ThI/AAAAAAAAAPs/5HSCqllRz1k/s640/mpya6.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Byj6CnsHQeA/VXkekrcu7fI/AAAAAAAAAPU/D31WQ-OuplU/s640/mpya17.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yTb3ugHgD0s/VXkei5AsUtI/AAAAAAAAAPE/RB5cQRrv0GM/s640/mpya20.png)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
10 years ago
MichuziTFF YATANGAZA RASMI RATIBA YA MASHINDANO YA KOMBE LA WANAWAKE TAIFA
10 years ago
Michuzi19 Jan
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-eRiVXDIl5dE/U5tHtaBRYXI/AAAAAAAFqb8/oSTNl6ktnl0/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
9 years ago
Michuzi11 Nov
MASHINDANO YA MISS UNIVERSE TANZANIA 2015 KUANZA RASMI
Mpaka sasa hivi waandaaji wameanza kupokea fomu na picha za warembo kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania na Zanzibar.
Miongoni mwa mikoa ambayo Miss Universe Tanzania imepokea na inaendelea kupokea fomu na picha za washiriki ni Arusha, Mwanza, Tanga, Iringa, Mbeya na Dar es Salaam. Zoezi la usaili na kupokea fomu kutoka mikoani litahitimishwa siku ya...