Mabingwa Uhai Cup kuzuru Maramba
MABINGWA wa Kombe la Uhai ambalo hushirikisha wachezaji wanaotumikia vikosi vya pili kwenye timu zinazoshiriki Ligi Kuu Tanzania bara, Coastal Union U-20, kesho wanatarajiwa kufanya ziara ya kimichezo Tarafa ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 May
TFF yahaha kusaka wadhamini Uhai Cup
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi amesema yupo kwenye mazungumzo na wadhamini ili kufanikisha mashindano ya Uhai Cup yanayoshirikisha timu za vijana chini ya miaka 20.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s72-c/kanyasu2.jpg)
SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI
![](https://1.bp.blogspot.com/-qDVW2jk6RFo/Xqa6eExLT6I/AAAAAAALoUw/11O8w87eh7oFWEiYmEIwrqNi4HJRsl8rgCLcBGAsYHQ/s640/kanyasu2.jpg)
Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai wa wanyamapori
Amesema licha ya kuwa binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...
11 years ago
MichuziMUCOBA FC MABINGWA MUUNGANO CUP
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ze-2rvmq8Vs/VG1px99DqbI/AAAAAAAGyVI/PSjgCcj5VcE/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mkwaja FC mabingwa wapya Mwidau CUP 2014
Na Mwandishi Wetu,Pangani Timu ya soka ya Mkwaja FC imetwaa ubingwa wa kombe la Mwidau CUP mwaka 2014 baada ya kuifunga timu ya soka ya Kiman’ga kwa mabao 4-2 katika mtanange uliopigwa kwenye Uwanja wa Mwera wilayani Pangani. Mchezo huo ambao ulikuwa ni wakuvutanikuvute katika kipindi cha kwanza lakini timu ya Kiman’ga ilionyesha kuzidiwa uwezo kwa kuweza kuruhusu mvua ya magoli katika dakika za awali toka mpira kuanza. Mchezaji wa Mkwaja FC Masoud Ticha ndio alionekana kinara katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XmBLfcMjB8M/VXe8ze5btbI/AAAAAAAAQsU/JyZPbO5u4lk/s72-c/E86A9891%2B%2528800x533%2529.jpg)
MASHINDANO YA LUCY OWENYA CUP YAMALIZIKA,TIMU YA KIBOSHO KINDI YAIBUKA MABINGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-XmBLfcMjB8M/VXe8ze5btbI/AAAAAAAAQsU/JyZPbO5u4lk/s640/E86A9891%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EWsdpJyrDr4/VXe9GMHScmI/AAAAAAAAQuc/6Y3y71kkVF8/s640/E86A9960%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-90kRhci7Mss/VXe9DttStpI/AAAAAAAAQuE/n9TCP82fKxA/s640/E86A9942%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IIVavhRcqnc/VXe9I5wBnqI/AAAAAAAAQu4/tF3OpB7nHA0/s640/E86A9979%2B%2528800x533%2529.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s72-c/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
MICHUANO YA MBATIA CUP 2015 SASA YAMALIZA HATUA YA KWANZA YA KUPATA MABINGWA WA KATA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzVEmap-AtU/VZ828bj7cmI/AAAAAAAAR84/BTaEYRU77S4/s640/E86A3079%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha timu ya Wazalendo kabla ya mchezo wa fainali.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LiCB0-X46cE/VZ83EUNzuHI/AAAAAAAAR9Y/_MGtkW2XD7Q/s640/E86A3090%2B%25281280x853%2529.jpg)
Kikosi kamili cha Himo fc kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali .
![](http://4.bp.blogspot.com/-LgypwHD40NY/VZ83nWzeqNI/AAAAAAAAR_E/eB18O7OUPU8/s640/E86A3175%2B%25281280x853%2529.jpg)
Katibu Mwenezi wa chama cha NCCR -Mageuzi ,Stanley Temba akiwa ameongozana na katibu wa Vijana wa chama hicho katika jimbo la Vunjo Danieleson Shayo wakisalimiana na wachezaji wa timu zote mbili kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali.
![](http://2.bp.blogspot.com/-SsliEuF71t4/VZ827ym5eYI/AAAAAAAAR80/nF2MX8mzX1Q/s640/E86A3085%2B%25281280x853%2529.jpg)
Waamuzi wa mchezo huo,Kabwe Korona,Beda Lyimo na Nassib wakizungumza na manahodha wa timu hizo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CjnKTFV92-w/VZ828OwAAlI/AAAAAAAAR88/WWhSQE0-8Sg/s640/E86A3074%2B%25281280x853%2529.jpg)
Benchi la ufundi la timu ya...
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Temeke mabingwa wa Proin Women Taifa Cup mara baada ya kuifunga Pwani katika fainali
![IMG_1261](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG_1261.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: HATUA YA ROBO FAINALI KUANZA KUTIMUA VUMBI LEO KATIKA UWANJA WA KAITABA, MABINGWA WATETEZI BILELE FC KUANZA NA KAHORORO FC
Na Faustine Ruta, BukobaTimu nane zilizosonga mbele kwenye hatua ya Robo Fainali KAGASHEKI CUP 2014 leo zinaanza kuonyeshana ubabe kati ya Mabingwa Watetezi Bilele Fc na Kahororo Fc kwenye uwanja wa Kaitaba Bukoba mjini. Kwa ajili ya kuwania nafasi nne za kuingia hatua ya nusu fainali ya Ligi ya KAGASHEKI CUP Inayotarajiwa kuanza wiki ijayo. Timu ya Bakoba Fc ilipoteza na kutupwa nje kwenye Mashindano baada ya matokeo ya timu ya Kitendaguro kwenda vibaya katika hatua ya Makundi mtanange wa...
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
Xi Jinping kuzuru Zimbabwe
Waziri mkuu wa China Xi Jinping anatarajiwa kuzuru taifa Zimbabwe hii leo Jumanne ambapo atafanya mkutano na rais Robert Mugabe.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania