TFF yahaha kusaka wadhamini Uhai Cup
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi amesema yupo kwenye mazungumzo na wadhamini ili kufanikisha mashindano ya Uhai Cup yanayoshirikisha timu za vijana chini ya miaka 20.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Dec
Dar yahaha kusaka maji
WAKAZI wa maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam, wamekuwa wakihangaika kutafuta majisafi kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa. Wanawake na watoto wamekuwa wakionekana wakiwa na ndoo kuanzia asubuhi hadi jioni, wakisaka bidhaa hiyo.
10 years ago
Mwananchi23 Sep
TFF yahaha kulinusuru bas
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limewasilisha maombi Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara wakiomba lifanye mabadiliko ya kuliondoa basi lao lenye usajili namba T 581 CGR lililowekwa sokoni kuuzwa na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited kwa ajili ya kufidia ya deni la Sh56.8 milioni na badala yake liuzwe gari lenye usajili T 528 ASJ aina ya Coaster.
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ni wakati wa klabu kusaka wadhamini
Kivumbi cha Ligi Kuu Tanzania Bara kimemalizika wiki iliyopita kwa Azam FC kunyakua ubingwa wa Tanzania Bara ikiwa ni mara ya kwanza baada ya misimu mitano kushiriki ligi hiyo.
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Mkulima atumia mabasi kusaka wadhamini
Kada wa CCM, Elidephonce Bilohe (43), mkulima anayeomba kupitishwa na chama chake kuwania urais, amesema anatumia usafiri wa mabasi ya umma kuzunguka mikoani kusaka wadhamini.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s72-c/Lowassa_Borafia.jpg)
MH. LOWASSA ATUA ZANZIBAR KUSAKA WADHAMINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0yu_dQjfHA8/VXM_Ff3JN8I/AAAAAAAAUmE/Woo6b_bxjso/s640/Lowassa_Borafia.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_8_S96F077c/VXM_QWaj9QI/AAAAAAAAUmM/Lwmx_ipXStE/s640/Lowassa_Borafia2.jpg)
10 years ago
MichuziZiara ya January Makamba Kusaka Wadhamini Shinyanga.
Mh January Makamba naendelea na Ziara yake ya Kusaka Wadhamini katika mikoa mbalimbali ya Tanzania na Leo alikua katika Mkoa wa Shinyanga akiomba Uzamini.
Mh January Makamba amepokelewa kwa Bashasha Kemkem na wakazi wa Mkoa wa Shinyanga na Chama cha vijana wa Bidaboda mkoa huu walijitokeza kwa Wingi kumpokea January Makamba.
Mbunge wa Shinyanga na Naibu waziri wa Ofisi ya Makamu wa Raisi (Mazingira) Steven Masele amempokea mh January Makamba na Kuwaomba wanashinyanga kumuamini na kumpa...
Mh January Makamba amepokelewa kwa Bashasha Kemkem na wakazi wa Mkoa wa Shinyanga na Chama cha vijana wa Bidaboda mkoa huu walijitokeza kwa Wingi kumpokea January Makamba.
Mbunge wa Shinyanga na Naibu waziri wa Ofisi ya Makamu wa Raisi (Mazingira) Steven Masele amempokea mh January Makamba na Kuwaomba wanashinyanga kumuamini na kumpa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSWSQ-rIRrhCoPKfq0DKAO3ZvqIm-4-M2a38QYDt-4WWjDZLLkEyXc4d0v89xdzzzenZuYGbqTuQwTUKzU0j2YKf/MheshimiwaJanuaryMakambaakiwasiliofisizaCCMmkoawaIringa.jpg?width=650)
JANUARY MAKAMBA AKIWA IRINGA KUSAKA WADHAMINI
Mheshimiwa January Makamba, akiwasili ofisi za CCM mkoa wa Iringa. Mheshimiwa January Makamba, akipokelewa na wanachama wa CCM Wilaya ya Iringa mjini.…
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fwCspudNGX4/VX7pkHIWqiI/AAAAAAAA_8g/pfnJmoJF4_A/s72-c/PINDA%2B2.jpg)
WAZIRI MKUU AANZA KUSAKA WADHAMINI KATAVI
![](http://2.bp.blogspot.com/-fwCspudNGX4/VX7pkHIWqiI/AAAAAAAA_8g/pfnJmoJF4_A/s320/PINDA%2B2.jpg)
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda ameanza safari ya kusaka wadhamini kwa kuzuru Mkoa wa Katavi.
Waziri Mkuu Pinda ambaye aliwasili Mpanda jana jioni (Jumapili, Juni 14, 2015), alipokelewa na maelfu ya wakazi wa mji wa Mpanda ambao waliamua kumsindikiza kwa mchakachaka na bodaboda kutoka uwanja wa ndege hadi nyumbani kwake, Makanyagio.
Hadi mchana huu amekwishapata wadhamini 4,243 kwa kuzuru vituo...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bXTmJ0Hm0Ak/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania