TFF yahaha kulinusuru bas
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limewasilisha maombi Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara wakiomba lifanye mabadiliko ya kuliondoa basi lao lenye usajili namba T 581 CGR lililowekwa sokoni kuuzwa na Kampuni ya Punchlines Tanzania Limited kwa ajili ya kufidia ya deni la Sh56.8 milioni na badala yake liuzwe gari lenye usajili T 528 ASJ aina ya Coaster.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 May
TFF yahaha kusaka wadhamini Uhai Cup
9 years ago
Bongo508 Dec
Music: Bas Feat. J. Cole – Night Job
![j-cole-bas](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/j-cole-bas-300x194.jpg)
Bas is working on the follow-up to his 2014 debut Last Winter, but his Dreamville boss J. Cole lets loose a new song to get you ready. Cole joins his Queens protégé on “Night Job,” which finds the rappers in grind mode.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Sitta ahaha kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
TFDA yahaha kujinasua
BAADA ya gazeti hili kufichua uzembe wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) wa kutochukua hatua stahiki dhidi ya mmiliki wa duka la dawa la Core Pharmacy, Sohil Lalani...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Cecafa yahaha kuiokoa Chalenji
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Serikali yahaha kunusuru bajeti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDqiVZWfq2y5KjFxXhWCwTG7XUYKPJDPVoRJ2gGXb*LzDxWw73wLGtKkwCbjR009WUFYpCmpTuHuOar34SZCjj37/balali.jpg)
SERIKALI YAHAHA, YAMSAKA BALALI
10 years ago
Habarileo20 Dec
Dar yahaha kusaka maji
WAKAZI wa maeneo kadhaa ya jiji la Dar es Salaam, wamekuwa wakihangaika kutafuta majisafi kwa kipindi cha mwezi mmoja sasa. Wanawake na watoto wamekuwa wakionekana wakiwa na ndoo kuanzia asubuhi hadi jioni, wakisaka bidhaa hiyo.