Kocha Simba aja na falsafa ya mabao mengi
Dylan Kerr, ni mtu aliyekabidhiwa mikoba na jukumu zito la kuinoa Simba akirithi mikoba ya Goran Kopunovic, raia wa Serbia aliyeiongoza msimu uliopita, ambako timu hiyo ilimaliza kwenye nafasi ya tatu, nyuma ya Yanga na Azam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo02 Nov
Kocha Simba akoshwa na mabao ya Ajibu
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr amempongeza mfungaji wa mabao matatu kwenye mechi dhidi ya Majimaji, Ibrahim Ajibu na kumpa neno mshambuliaji huyo chipukizi.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Sitta aja na ‘falsafa’ ya chura
11 years ago
GPLLogarusic aja na mabao...
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Cannavaro ataka mabao mengi Yanga
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Ushindi wa mabao mengi utaisaidia Yanga leo
10 years ago
Mwananchi01 Feb
Yanga yasaka mabao mengi kwa Ndanda leo
11 years ago
CloudsFM09 Jul
KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI
"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...
10 years ago
VijimamboSIMBA NA YANGA MPIRA UMEKWISHA MABAO NI 0-0