Kocha Simba akoshwa na mabao ya Ajibu
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Simba, Dylan Kerr amempongeza mfungaji wa mabao matatu kwenye mechi dhidi ya Majimaji, Ibrahim Ajibu na kumpa neno mshambuliaji huyo chipukizi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jun
Kocha Simba aja na falsafa ya mabao mengi
11 years ago
CloudsFM09 Jul
KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI
"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.
Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBihQikIdOM/T6VkXEt2CtI/AAAAAAAAD_s/er5f3CMjQco/s72-c/SIMBA.jpeg)
SIMBA NA YANGA MPIRA UMEKWISHA MABAO NI 0-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZBihQikIdOM/T6VkXEt2CtI/AAAAAAAAD_s/er5f3CMjQco/s640/SIMBA.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JNCkZuLuGgw/VUZKgoY6KmI/AAAAAAABYvw/I1wcodJu7YY/s72-c/Kikosi%2Bcha%2Bazam.jpg)
AZAM FC YAKUBALI KICHAPO CHA MABAO 2 - 1 KUTOKA KWA SIMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-JNCkZuLuGgw/VUZKgoY6KmI/AAAAAAABYvw/I1wcodJu7YY/s1600/Kikosi%2Bcha%2Bazam.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a04inMuIAuU/VUZKnGs5fLI/AAAAAAABYv8/kYuFAyc82Ew/s1600/Kikosi%2Bcha%2BSimba.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iz_a_xKIyRA/VUZKnIVrg5I/AAAAAAABYv4/VzrUuDEfIco/s1600/Picha%2Bya%2Bpamoja.jpg)
10 years ago
MichuziSimba Imeshinda katika mchezo wake wa Pili wa Mazoezi dhidi ya Timu ya Black Sailor kwa mabao 4--0
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Simba imeshinda katika mchezo wake wa pili wa mazoezi dhidi ya timu ya Black Sailor kwa mabao 4—0
Jopo la Makocha wa timu ya Simba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s72-c/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU YA VIJANA YA SIMBA YAIBUKA NA USHINDI WA MABAO 2- 0 DHIDI YA TIMU YA YANGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-3XoHDWc4q4Q/XmZAgyra22I/AAAAAAALiQE/JytjH8gDpvc4ycFivZiVxyDDvYXQE9McQCLcBGAsYHQ/s400/127-1270644_simba-sc-simba-sports-club-logo.png)
TIMU ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 wa Simba wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya wapinzani wao Yanga katika mchezo wa utangulizi uliochezwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mchezo wa timu hizo mbili ambao ulikuwa wa utangulizi kabla ya mechi ya timu ya Simba na Yanga wanaoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Mtangane ulianza saa nane mchana ambapo vijana hao kwa kila timu walionesha umahiri wao wa kusakata kabumbu licha ya umri walionao. Timu ya...
10 years ago
Habarileo10 Aug
Simba wamchefua kocha
KOCHA wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya SCVilla ya Uganda juzi, hajafurahishwa na kiwango cha wachezaji wake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA SIMBA AFARIKI