Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yaichapa Rhino

. Mshambuliaji Ramadhani Singano alifunga bao na kukosa penalti wakati Simba iliposhinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

YANGA YAICHAPA RHINO 3-0 TABORA

Kikosi cha timu ya Yanga SC kilichoanza siku ya leo dhidi ya Rhino Rangers, katika Dimba la Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Kikosi cha Rhino Rangers kilichoanza siku ya leo dhidi ya Yanga.…

 

11 years ago

Michuzi

ZESCO YAICHAPA SIMBA 3-0

 Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Fedha, Adam Malima (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji na viongozi wa Simba pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi. (Picha na Francis Dande) Kikosi cha Simba kikiwa na Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic (kulia), pamoja na Rais wa Simba, Evans Aveva.Kikosi cha Zesco.
 Ramadhani Singano 'Mess' akiwatoka wachezaji wa Zesco.Mshambuliaji wa Simba, Raphael Kiongera (kushoto), akimtoka beki wa Zesco United ya Zambia, Bernad Mapili katika mchezo maalumu wa...

 

11 years ago

GPL

SIMBA 1, RHINO RANGERS 0

Mtanange kati ya Simba na Rhino Rangers ukiendelea uwanja wa Taifa jijini Dar. Taswira za uwanja wa Taifa kabla ya mechi kuanza. (Picha na Nicolaus Track/ GPL) TIMU ya Simba SC imeibuka na pointi tatu katika mtanange wa Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuilaza Rhino Rangers bao 1-0. Mechi hiyo imepigwa katika…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Simba yaituliza Rhino Dar

WEKUNDU wa Msimbazi, Simba, jana walianza vema mzunguko wa lala salama Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kuwapigisha kwata maafande wa Rhino Rangers ya Tabora na kuwalaza bao 1-0 kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

URA yaichapa Simba kwa mbwembwe

Simba imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa URA katika mchezo wa kirafiki uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

11 years ago

TheCitizen

Simba narrow gap to leaders with Rhino win

Simba SC stayed in the hunt for the Vodacom Premier League title with a wafer-thin 1-0 victory over Rhino Rangers at the National Stadium yesterday.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya yahaidi kiama kwa Rhino, Simba

>Mashabiki wa Mbeya City wameungana na wale wa Prisons katika kuhakikisha timu zao zinatoka na ushindi leo na kesho dhidi ya Rhino Rangers na Simba kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA NA MBEYA CITY DROO 1-1 , LIPULI FC YAICHAPA POLISI MOROGORO 3-1

Mashabiki wa Simba
Matokeo  ya mchezo la  ligi kuu  ya  Voda Com si Simba  wala  Mbeya City  baada ya  timu  hizo  zote  mbili kutoka   uwanjani  hapo kwa kifua mbele  cha goli 1-1.Mchezo  huo  ambao  kwa Mbeya  City  ni mchezo wa nyumbani  imeweza  kuonyesha umakini mkubwa wa kugomea  kufungwa  katika uwanja  wa Nyumbani wa Sokoine jijini Mbeya   huku   Simba nayo  ikikwepa " kugagaduliwa " ugenini  kiasi cha kuifanya  Simba  kukomaa na  kusawazisha  goli  la Mbeya  City lililofungwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani