YANGA YAICHAPA RHINO 3-0 TABORA
Kikosi cha timu ya Yanga SC kilichoanza siku ya leo dhidi ya Rhino Rangers, katika Dimba la Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora. Kikosi cha Rhino Rangers kilichoanza siku ya leo dhidi ya Yanga.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Simba yaichapa Rhino
. Mshambuliaji Ramadhani Singano alifunga bao na kukosa penalti wakati Simba iliposhinda 1-0 dhidi ya Rhino Rangers jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo28 Sep
YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/vplprsns.jpg)
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uFCQvH3jdgB1*dBNITt7yriSWj1ORX4EDsyxCfKxx1nJbKXPeQKEYvI*DA07SL0hcqDPLDnSwYbnGyRhoJ9C-pLoB6zxFUCH/ngassa.jpg)
YANGA YAICHAPA MTIBWA 2-0 TAIFA
Mrisho Ngassa. TIMU ya Yanga yenye makazi yake Jangwani jijini Dar es Salaam leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Mechi hiyo imechezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam huku mabao yote mawili ya Yanga yakiwekwa kimiani na Mrisho Ngassa.
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Yanga kidedea, yaichapa BDF XI 2-0
Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amisi Tambwe leo ameibuka shujaa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam baada ya kuifungia timu yake ya Yanga ya jijini Dar es Salaam magoli 2-0 dhidi ya BDF XI ya nchini Botswana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania