Yanga kidedea, yaichapa BDF XI 2-0
Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amisi Tambwe leo ameibuka shujaa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam baada ya kuifungia timu yake ya Yanga ya jijini Dar es Salaam magoli 2-0 dhidi ya BDF XI ya nchini Botswana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s72-c/MMGL0060.jpg)
MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s1600/MMGL0060.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hHVq_w2pie4/VN9YDWa4n6I/AAAAAAAHDu8/Y3X4I_cge8g/s1600/MMGL0098.jpg)
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Yanga SC kanyaga BDF XI twende
Ikiwa ni miaka 12 tangu, DBF itolewe na Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo inakanyanga jijini Dar es Salaam kwa mara nyingine kucheza na Yanga yenye maswali mengi.
10 years ago
Mwananchi27 Feb
MTN ya Yanga kuichakaza BDF XI
Wakati Barcelona inajivunia Messi, Suarez , Neymar ‘MSN’, Real Madrid ikiwa na ‘BBC’ ya Benzema, Bale na Cristiano Ronaldo, Yanga inao washambuliaji watatu, Msuva, Tambwe, Ngassa wanaounda umoja, MTN utakaotumika leo kuisambaratisha BDF XI.
10 years ago
TheCitizen14 Feb
SOCCER: Yanga target BDF scalp
>Mainland giants Young Africans must be harbouring hopes of making a flying start in the continent’s second-tier competition.
10 years ago
BBCSwahili18 Feb
Yanga, Azam pongezi kuwadunda El-Merreikh, BDF XI
Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimewapongeza wawakilishi wa Tanzania bara katika michuano ya vilabu barani Afrika klabu ya Azam FC na Yanga SC.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-1X1AHg-tlWw/VO_CutmgMLI/AAAAAAADa4c/VQta9mtXb1c/s72-c/IMG-20150226-WA0098-1.jpg)
YANGA KESHO NA BDF XI YA BOTSWANA JE WATAENDELEZA MWENDO WA KIBAJAJI?
![](http://2.bp.blogspot.com/-1X1AHg-tlWw/VO_CutmgMLI/AAAAAAADa4c/VQta9mtXb1c/s1600/IMG-20150226-WA0098-1.jpg)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F--Fr9-xuMVio%2FVO_Cu0iAeKI%2FAAAAAAADa4k%2FWK8U2feKiMI%2Fs1600%2FIMG-20150226-WA0088.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-S85yXLoI-3Y%2FVO_Cu5knEUI%2FAAAAAAADa4g%2FqbyUmlVgV6Y%2Fs1600%2FIMG-20150226-WA0095.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-vntIkRpN5dY%2FVO_C2AVlKMI%2FAAAAAAADa5E%2FtkKNAhKl-gM%2Fs1600%2FIMG-20150226-WA0087.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s72-c/MMGL0060.jpg)
YANGA YASHINDA KWA BAO 2-0 MECHI YAKE NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAYOCHEZWA UWANJA WA TAIFA,
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ew2onIrzvpo/VN9XiYsc-BI/AAAAAAAHDu0/nz-Lu8__BS4/s640/MMGL0060.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-mN5n9wrWXGU/VN9YFUXERRI/AAAAAAAHDvE/uAns9jyyU70/s640/MMGL0070.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Sep
YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/vplprsns.jpg)
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania