Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MTN ya Yanga kuichakaza BDF XI

Wakati Barcelona inajivunia Messi, Suarez , Neymar ‘MSN’, Real Madrid ikiwa na ‘BBC’ ya Benzema, Bale na Cristiano Ronaldo, Yanga inao washambuliaji watatu, Msuva, Tambwe, Ngassa wanaounda umoja, MTN utakaotumika leo kuisambaratisha BDF XI.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MECHI YA YANGA NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAPIGWA HIVI SASA UWANJA WA TAIFA,YANGA INAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mchezaji wa timu ya Yanga,Mrisho Khalfan Ngassa akiwania mpira na Mchezaji wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana wakati wa mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika unaopigwa hivi sasa kwenye uwanja wa Taifa jini Dar es salaam.Yanga inaongoza kwa bao 2 - 0 zilizotiwa kimiani na Mshambuliaji Hamis Tambwe. PICHA ZOTE NA OTHMAN MICHUZI Golikipa wa timu ya BDF XI FC ya nchini Botswana akiondosha hatari iliyokuwa ikielekezwa langoni mwake wakati wa Mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga kidedea, yaichapa BDF XI 2-0

Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amisi Tambwe leo ameibuka shujaa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam baada ya kuifungia timu yake ya Yanga ya jijini Dar es Salaam magoli 2-0 dhidi ya BDF XI ya nchini Botswana.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC kanyaga BDF XI twende

Ikiwa ni miaka 12 tangu, DBF itolewe na Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo inakanyanga jijini Dar es Salaam kwa mara nyingine kucheza na Yanga yenye maswali mengi.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Yanga target BDF scalp

>Mainland giants Young Africans must be harbouring hopes of making a flying start in the continent’s second-tier competition.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga, Azam pongezi kuwadunda El-Merreikh, BDF XI

Chama cha kandanda mkoa wa Dar es salaam DRFA,kimewapongeza wawakilishi wa Tanzania bara katika michuano ya vilabu barani Afrika klabu ya Azam FC na Yanga SC.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA KESHO NA BDF XI YA BOTSWANA JE WATAENDELEZA MWENDO WA KIBAJAJI?

Yanga wakipasha ya mwisho mwisho leo hii kabla ya kipute cha hiyo kesho Yanga wanaitaji draw tu kusonga mbele  kwenye mchezo huo wa kesho baada ya mchezo wao wa kwanza uliofanyika Tanzania kushinda bao 2-0. Na hata wakifungwa goli moja watakuwa wamepeta tu kiroho safi. Kocha wa Yanga akiteta na Nadir nahodha  wa timu wakiwa njiani kuelekea mazoezini kujiwenda na mshike mshike huo wa kesho.
Msemaji wa club Jerry Muro akipata ukodak wakati timu ikipiga jalamba.Hiki ni kiota walichofikia Yanga...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YASHINDA KWA BAO 2-0 MECHI YAKE NA BDF XI FC YA BOTSWANA INAYOCHEZWA UWANJA WA TAIFA,

Timu ya Yanga imeshinda mechi yake na BDF XI FC ya Botswana katika memchi ya kombe la shirikisho Barani Africa, Timu hiyo mahasimu wakubwa wa Simbawametoka kifua mbele kwa ushindi wa mabao 2-0 magoli yote yamefungwa na mchezaji Hamis TambwePicha kwa hisani ya Michuzi Blog zilizopigwa na Othman Michuzi

 

5 years ago

Michuzi

Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda

Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...

 

10 years ago

GPL

Nyota Tanzania Eleven waapa kuichakaza Madrid

Kipa wa zamani wa Simba Mohamed Mwameja. Na Waandishi Wetu
WACHEZAJI wa kikosi cha Tanzania Eleven, wameapa kuifunga Real Madrid katika mchezo mkali wa kirafiki utakaopigwa kwenye Uwanja wa Taifa leo Jumamosi. Wakizungumza na Championi Jumamosi, wachezaji hao walisema wamejiandaa vya kutosha kuhakikisha wanaifunga Madrid na kuipa heshima Tanzania na wameomba mashabiki kujitokeza kwa wingi kushuhudia mtanange huo mkubwa....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani