news alert: ankal anunua ndege kuondokana na adha ya foleni jijini dar es salaam
Ankal akijiandaa kuingia ndani ya ndege yake ndogo inayoweza kutua popote aliyoinunua hivi karibuni kutoka katika visiwa vya Ushelisheli (Seychelles Islands) ili kuepukana na adha ya foleni jijini Dar es salaam.
Ankal ameiambia Globu ya Jamii kwamba amekuwa akisomea urubani wa ndege hiyo kwa siri kwa mwaka mmoja na sasa ameshatimiza masaa 450 hewani na tayari ameshapata leseni ya kupaa katika jiji la Dar (mchana tu, kati ya saa 12 asubuhi hadi saa 12 jioni) na kutua katika viwanja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gPg06VryKvI/U0p6W9YPHyI/AAAAAAAFacU/Jg93nfkDnl8/s72-c/IMG-20140413-WA0004-1.jpg)
News Alert: Helkopta ya Polisi yapiga mweleka wakati wa Kuruka kwenye Uwanja wa Ndege wa J.K. Nyerere jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-gPg06VryKvI/U0p6W9YPHyI/AAAAAAAFacU/Jg93nfkDnl8/s1600/IMG-20140413-WA0004-1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3vrcaofEp94/VUd4PucDRNI/AAAAAAAHVQg/L2tKC0HPTeg/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
News Alert: membe akutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi jijini Dar es salaam leo
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s72-c/download.jpg)
news alert: wawili wahukumiwa faini shilingi milioni 15 ama jela miaka 15 kwa ujenzi wa jengo la ghorofa 18 jijini dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-YhWXHTkyD9Y/UvjhMYPwBKI/AAAAAAAFMMU/akwMx1PmcZI/s1600/download.jpg)
Washtakiwa hao ni aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), Makumba Kimweri na aliyekuwa Msanifu Mkuu wake Richard Maliyaga (55) wote wakazi wa jijini Dar es Salaam.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu Mkazi Sundi...
10 years ago
Michuzi06 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s72-c/IMG-20150227-WA0037.jpg)
NEWS ALERT: NDEGE YA JWTZ YAPATA AJALI JIJINI MWANZA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q8yl8I0FRWg/VPB3g2oRWcI/AAAAAAAHGQs/gm3vzlKdzN8/s1600/IMG-20150227-WA0037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ODsiopK1HFA/VPB4-s7b8VI/AAAAAAAHGSA/yVB3lMyUmiw/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-27%2Bat%2B5.01.14%2BPM.png)
Ndegevita za JWTZ zilikuwa katika mazoezi ya kawaida ya kivita, Wakati rubani wa ndegevita...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s72-c/f1.jpg)
libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-gvXdjVSRE/U5TeC3xgKSI/AAAAAAAFpGE/0U9nf45v9_8/s1600/f1.jpg)
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii
10 years ago
Michuzi13 Jul
NEWS ALERT: WATU KADHAA WAUWAWA, SILAHA ZAPORWA BAADA YA MAJAMBAZI KUVAMIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA SITAKISHARI, UKONGA, JIJINI DAR ES SALAAM USIKU HUU
Habari ambazo hazijathibitishwa zinasema kwamba askari polisi kadhaa kituoni hapo pamoja na raia mmoja wameuwawa. Silaha kadhaa pia inasemekana zimeporwa na askari wako eneo la tukio hivi sasa.
Tunaendelea kufuatilia taarifa hii na tutawajuza maendeleo yake kadri tutapopata fununu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9QJpDGhAlBc/Ve6QUincU9I/AAAAAAAH3Os/A-xepoPru3g/s72-c/g1.jpg)
NEWS ALERT: Hatimaye Gesi Asilia kutoka Mtwara yafika Dar es salaam
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QJpDGhAlBc/Ve6QUincU9I/AAAAAAAH3Os/A-xepoPru3g/s640/g1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vf60QxE590k/Ve6QVCNoTqI/AAAAAAAH3O4/W_68Hy-d-XY/s640/g1a.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wV6KGq_1En8/VhZdddeLtJI/AAAAAAAH9yY/uJZZx7GHjqg/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
News alert: Gari lateketea kwa moto mchana huu sinza Kumekucha, dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-wV6KGq_1En8/VhZdddeLtJI/AAAAAAAH9yY/uJZZx7GHjqg/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-RK8gFhVvV98/VhZddWWRVNI/AAAAAAAH9yg/4tc4CEQzDcE/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-azeldatqtuQ/VhZee5GHH6I/AAAAAAAH9yw/OHOZA0cbfZE/s640/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10