Ndege wa ajabu waanza kuteketezwa Bukoba
Wananchi katika Kisiwa cha Musira mkoani Kagera wameanza kuteketeza ndege waliodaiwa kutoa kinyesi chenye sumu, huku Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii ikiendelea kukalia majibu ya utafiti kuhusu ukweli wa madai hayo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Ndege wa ajabu wavamia makazi Kagera
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kinyesi cha ndege wa ajabu chaua mbuzi, kuku
NDEGE anayedaiwa kuwa wa ajabu, amezuka kisiwani Musira katika Manispaa ya Bukoba, ambaye kinyesi chake inadaiwa kimesababisha vifo vya mbuzi na kuku baada ya kukila. Kutokana na tukio hilo, wakazi wa kisiwa hicho, mkoani Kagera wamepigwa marufuku kusafirisha mbuzi na kuku kutoka au kuingia kisiwani humo.
11 years ago
Michuzi31 May
ajabu na kweli: baba na binti waendesha ndege ya abiria ya Kenya Airways pamoja
9 years ago
MichuziUWANJA WA KAITABA BUKOBA WAANZA KUWEKWA NYASI RASMI LEO.
Uwanja wa Kaitaba Bukoba Umeanza kuwekwa nyasi bandia rasmi leo hii jumatatu 2 Novemba, 2015 na kutokana na maelezo ya wawekaji wamesema utachukuwa muda wa siku 14 tu.
Wakaazi wa Mji wa Bukoba na Vitongoji vyake sasa kuanza kushuhudia kipute live bila Chenga katika Uwanja huo wa Kaitaba. Timu ya Kagera Sugar nayo inatarajiwa kurudi katika Uwanja huo ambao uutumia kama Uwanja huo ambapo mpaka sasa tangu msimu uliopita wamekuwa wakitumia Viwanja vingine kwa michezo...
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
Msako wa ndege waanza ardhini China
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-M7HN3YIR9Qc/VgAztqUVfkI/AAAAAAAH6kk/r43f0eWWpSM/s72-c/unnamed%2B%252897%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Jan
UWANJA WA KAITABA MJINI BUKOBA WAANZA KUPIGWA SOP SOP
Rais wa TFF, Jamal Malinzi alisema kuwa kutokana na ukarabati huo tayari Kagera Sugar imeshaomba kutumia Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kwa ajili ya mechi zake za nyumbani. Katika hatua nyingine, Malinzi alisema kutokana na kikao cha Kamati ya Utendaji cha FIFA kilichokutana hivi karibuni kiliweka wazi kila Mwanachama wa FIFA ataendelea kupata dola za kimalekani 600,000...
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Kanisa la Pentekoste lanusurika kuteketezwa
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Bidhaa zinazokiuka masharti kuteketezwa