Kinyesi cha ndege wa ajabu chaua mbuzi, kuku
NDEGE anayedaiwa kuwa wa ajabu, amezuka kisiwani Musira katika Manispaa ya Bukoba, ambaye kinyesi chake inadaiwa kimesababisha vifo vya mbuzi na kuku baada ya kukila. Kutokana na tukio hilo, wakazi wa kisiwa hicho, mkoani Kagera wamepigwa marufuku kusafirisha mbuzi na kuku kutoka au kuingia kisiwani humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya Corona: Jinsi kinyesi cha kuku kinavyotumika mapambano dhidi ya corona
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU WA WIZARA YA UCHUKUZI AZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA SHIRIKA LA NDEGE LA ETIHAD LA NCHINI ABU DHABI LEO MCHANA KATIKA KIWANJA CHA NDEGE CHA KIMATAIFA CHA MWL. JULIUS NYERERE (JNIA)
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Ndege wa ajabu waanza kuteketezwa Bukoba
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Ndege wa ajabu wavamia makazi Kagera
11 years ago
Michuzi31 May
ajabu na kweli: baba na binti waendesha ndege ya abiria ya Kenya Airways pamoja
10 years ago
BBCSwahili10 Aug
Je kinyesi cha mtoto kina madhara?
10 years ago
BBCSwahili19 May
Kinyesi cha panya na mkojo ndani ya vipodozi ?
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Diwani aeleza chanzo cha kinyesi Suwata
DIWANI wa Gerezani, Salum Bisarara (CCM), amesema kufurika kwa maji yaliyojaa kinyesi mara kwa mara katika maeneo ya Suwata kunatokana na baadhi ya wamiliki wa majumba katika makutano ya mitaa...
10 years ago
StarTV08 Jan
Bill Gates anywa maji ya kinyesi cha binadamu.
Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.
Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.
Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.
Kulingana na shirika hilo la...