Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je kinyesi cha mtoto kina madhara?

Utupaji wa choo kikubwa cha mtoto katika eneo husika na katika hali ya usafi ni muhimu kama ilivyo kwa kinyesi cha mtu mzima.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mama wa kambo amlisha kinyesi mtoto

MWANAMKE mmoja amekamatwa na raia wema katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, na kufikishwa katika kituo cha polisi baada ya kudaiwa kumnyanyasa mtoto wa kambo wa miaka minne, kwa kumpiga...

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto alishwa kinyesi na mama wa kambo!

MWANAMKE mmoja amekamatwa na raia wema katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, na kupelekwa polisi baada ya kunyanyasa mtoto wa kambo wa miaka minne, kwa kumpiga na kumlisha kinyesi chake kwa madai kuwa amejisaidia ndani ya nyumba yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani aeleza chanzo cha kinyesi Suwata

DIWANI wa Gerezani, Salum Bisarara (CCM), amesema kufurika kwa maji yaliyojaa kinyesi mara kwa mara katika maeneo ya Suwata kunatokana na baadhi ya wamiliki wa majumba katika makutano ya mitaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kinyesi cha panya na mkojo ndani ya vipodozi ?

Kinyesi cha panya na mkojo wa binadamu ni baadhi ya viungo vinavyotumika kutengeza bidhaa ghushi za urembo.

 

11 years ago

Habarileo

Kinyesi cha ndege wa ajabu chaua mbuzi, kuku

NDEGE anayedaiwa kuwa wa ajabu, amezuka kisiwani Musira katika Manispaa ya Bukoba, ambaye kinyesi chake inadaiwa kimesababisha vifo vya mbuzi na kuku baada ya kukila. Kutokana na tukio hilo, wakazi wa kisiwa hicho, mkoani Kagera wamepigwa marufuku kusafirisha mbuzi na kuku kutoka au kuingia kisiwani humo.

 

10 years ago

StarTV

Bill Gates anywa maji ya kinyesi cha binadamu.

Mmiliki wa kampuni ya Microsoft Bill Gates amekunywa maji yaliotengenezwa kutokana na kinyesi cha binaadamu kama maonyesho ya teknolojia mpya itakayoweza kutoa maji safi katika mataifa yanayoendelea.

Mwanzilishi huyo wa Microsoft amesema kuwa ataisambaza mitambo ya teknolojia hiyo mpya kote duniani baada ya kuifanyia majaribio mwishoni mwa mwaka huu.

Teknolojia hiyo imeungwa mkono na shirika la WaterAid ambalo limesema kuwa itasaidia sana katika maeneo ya miji.

Kulingana na shirika hilo la...

 

10 years ago

Vijimambo

Manispaa ya Temeke imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila

Manispaa ya Temeke imeteketeza kinyesi kilichokutwa katika chumba cha mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Kibasila Gaudensia Albert baada ya maofisa wa afya wa manispaa hiyo kuchukua hatua hiyo ili kunusuru afya za wakazi wa eneo hilo.
Ama kweli ukistaajabu ya musa hakika utayaona ya firauni...na kuishi kwingi ni kuona mengi..hali kadhalika wahenga wanasema Tembea uyaone...Misemo hiyo mitatu inaweza kujidhihirisha kwa namna tofauti tofauti kupitia tukio la mkazi wa Jiji la Dar es salaam ambaye...

 

11 years ago

Habarileo

‘Chakula cha GMO hakina madhara kwa binadamu’

MTAFITI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk Nicholas Nyange amehakikishia Watanzania kuwa chakula kinachotokana na mazao ya uhandisi tete (GMO), hakina madhara kwa binadamu, kwa sababu Watanzania wengi wameshatumia chakula hicho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Fahamu ukweli wa madai ya kinyesi cha ng'ombe hutibu virusi

Kuna imani nyingi zinazosambaa mtandaoni juu ya tiba ya corona, mpaka kinyesi cha ng'ombe kinahusishwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani