Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mama wa kambo amlisha kinyesi mtoto

MWANAMKE mmoja amekamatwa na raia wema katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, na kufikishwa katika kituo cha polisi baada ya kudaiwa kumnyanyasa mtoto wa kambo wa miaka minne, kwa kumpiga...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mtoto alishwa kinyesi na mama wa kambo!

MWANAMKE mmoja amekamatwa na raia wema katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, na kupelekwa polisi baada ya kunyanyasa mtoto wa kambo wa miaka minne, kwa kumpiga na kumlisha kinyesi chake kwa madai kuwa amejisaidia ndani ya nyumba yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amuua mtoto wa kambo, ajiua

MWANAKIJIJI wa Mbuye, wilayani Chato, mkoani Geita, Alone Said (25), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kambo, Angelina Dickson, wa mwaka mmoja na miezi minane kwa...

 

10 years ago

GPL

MTOTO ALIVYONYONGWA NA BABA WA KAMBO

Na Dustan Shekidele, MOROGORO JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Zamili Shabani kwa madai ya kumnyonga hadi kumuua mtoto wake wa kambo, (mwaka mmoja na nusu) huku mauaji hayo yakihusishwa na wivu wa mapenzi.   Abdulrahman Hamis Clemensi enzi za uhai wake. Tukio hilo la ajabu lililowaacha vinywa wazi wakazi wa eneo hilo lilijiri saa 6 mchana wa Desemba 2, mwaka huu kwenye nyumba waliopanga wanandoa hao, Zamili...

 

10 years ago

GPL

MUME ATOROSHA MTOTO WA KAMBO

Stori: Haruni Sanchawa
MTU mmoja aliyetambulika kwa jina la Abdikadiri Opapa  anasakwa  na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Temeke baada ya kumtorosha mtoto wa kambo na kumtishia maisha mke wake. Abdikadiri Opapa akiwa na Machunda Thomas. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni baada ya wanandoa hao kuhitilafiana na mwanaume huyo kumuiba mtoto wa kambo aitwaye Machunda Thomas (11),  aliyemkuta kwa mkewe huyo na kwenda...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto wa kambo jela miaka 70

MKAZI wa kijiji cha Mtisi, Kata ya Sitalike wilayani Mlele, Forensi Alberto (34) ametupwa jela miaka 70 kwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake kambo mwenye umri wa miaka kumi.

 

11 years ago

GPL

UGOMVI WA KIMAPENZI WAPELEKEA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO IRINGA

Mwenyekiti wa mtaa wa pangani kata ya Makorongoni mjini Iringa Salum Kibaya akiutazama mwili wa mtoto Raymond Ben Mangungu (2) aliyeuwawa kwa kukabwa shingo na baba wa kambo wakati wa ugomvi wa kimapenzi kati ya mwanaume huyo na mama wa mtoto huyo usiku wa leo. Askari  polisi akitazama mwili wa mtoto  huyo. Hali  ilivyokutwa ndani ya chumba  hicho  baada ya  tukio. Wananchi wa Makorongini wakimtazama...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je kinyesi cha mtoto kina madhara?

Utupaji wa choo kikubwa cha mtoto katika eneo husika na katika hali ya usafi ni muhimu kama ilivyo kwa kinyesi cha mtu mzima.

 

10 years ago

Habarileo

Mama Salma asisitiza kinyesi kuzalisha biogesi

Mke wa Rais, Mama Salma KikweteMKE wa Rais, Mama Salma Kikwete ameutaka uongozi wa Tanzania Domestic Biogas Programme (CAMARTEC) kuangalia uwezekano wa kutumia kinyesi cha binadamu kuzalisha biogesi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani