Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME ATOROSHA MTOTO WA KAMBO

Stori: Haruni Sanchawa
MTU mmoja aliyetambulika kwa jina la Abdikadiri Opapa  anasakwa  na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Temeke baada ya kumtorosha mtoto wa kambo na kumtishia maisha mke wake. Abdikadiri Opapa akiwa na Machunda Thomas. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni baada ya wanandoa hao kuhitilafiana na mwanaume huyo kumuiba mtoto wa kambo aitwaye Machunda Thomas (11),  aliyemkuta kwa mkewe huyo na kwenda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UGOMVI WA KIMAPENZI WAPELEKEA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO IRINGA

Mwenyekiti wa mtaa wa pangani kata ya Makorongoni mjini Iringa Salum Kibaya akiutazama mwili wa mtoto Raymond Ben Mangungu (2) aliyeuwawa kwa kukabwa shingo na baba wa kambo wakati wa ugomvi wa kimapenzi kati ya mwanaume huyo na mama wa mtoto huyo usiku wa leo. Askari  polisi akitazama mwili wa mtoto  huyo. Hali  ilivyokutwa ndani ya chumba  hicho  baada ya  tukio. Wananchi wa Makorongini wakimtazama...

 

10 years ago

GPL

KIGOGO ATOROSHA MTOTO, AMLAWITI

Stori: Denis Mtima, Pwani
INASIKITISHA sana! Wakati watetezi wa haki za binadamu wakizidi kupiga vita matukio ya unyanyasaji wa watoto na wanawake, kigogo mmoja aliyetajwa kwa jina la Moses anadaiwa kumlawiti mtoto, Rose (16) na kumtorosha mwingine aitwaye Diana (12) ambaye ni denti wa darasa la nne. Mtoto Rose (kushoto) aliyelawitiwa, na mwenzake Diana aliyetoroshwa na kigogo mmoja aliyetajwa kwa jina la Moses. Kigogo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amuua mtoto wa kambo, ajiua

MWANAKIJIJI wa Mbuye, wilayani Chato, mkoani Geita, Alone Said (25), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kambo, Angelina Dickson, wa mwaka mmoja na miezi minane kwa...

 

10 years ago

GPL

MTOTO ALIVYONYONGWA NA BABA WA KAMBO

Na Dustan Shekidele, MOROGORO JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Zamili Shabani kwa madai ya kumnyonga hadi kumuua mtoto wake wa kambo, (mwaka mmoja na nusu) huku mauaji hayo yakihusishwa na wivu wa mapenzi.   Abdulrahman Hamis Clemensi enzi za uhai wake. Tukio hilo la ajabu lililowaacha vinywa wazi wakazi wa eneo hilo lilijiri saa 6 mchana wa Desemba 2, mwaka huu kwenye nyumba waliopanga wanandoa hao, Zamili...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyelawiti mtoto wa kambo jela miaka 70

MKAZI wa kijiji cha Mtisi, Kata ya Sitalike wilayani Mlele, Forensi Alberto (34) ametupwa jela miaka 70 kwa kumbaka na kumlawiti mtoto wake kambo mwenye umri wa miaka kumi.

 

11 years ago

Habarileo

Mtoto alishwa kinyesi na mama wa kambo!

MWANAMKE mmoja amekamatwa na raia wema katika wilaya ya Bunda, mkoani Mara, na kupelekwa polisi baada ya kunyanyasa mtoto wa kambo wa miaka minne, kwa kumpiga na kumlisha kinyesi chake kwa madai kuwa amejisaidia ndani ya nyumba yake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama wa kambo amlisha kinyesi mtoto

MWANAMKE mmoja amekamatwa na raia wema katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, na kufikishwa katika kituo cha polisi baada ya kudaiwa kumnyanyasa mtoto wa kambo wa miaka minne, kwa kumpiga...

 

10 years ago

GPL

MUME, MCHEPUKO WAGOMBEA MTOTO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Makubwa! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mke wa mtu aliyekuwa akiishi ukweni na mumewe wa ndoa, Bahati Ramadhani, amenusurika kuuawa na ndugu wa mumewe wakiwemo mawifi na wakwe zake baada ya kudaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko wake na kujikuta wakigombea mtoto. Mwanamke, Bahati Ramadhani anayeidaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko. Tukio hilo la kushangaza lililojaza kadamnasi...

 

9 years ago

GPL

MUME AMTETEA JACK WA CHUZI KUKOSA MTOTO

Stori: Imelda Mtema MASKINI! Mume wa mwigizaji wa Bongo Movies, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, Gadner Dibibi amewataka watu wanaomsema mkewe huyo kuwa hapati mtoto, waache kwani wanajisumbua bure suala hilo ni la Mwenyezi Mungu. Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, akiwa na mumewe Gadner Dibibi. Akizungumza na gazeti hili, Dibibi alisema alipomuoa Jack siyo kwamba alikuwa akifi kiria mtoto ila alijua mtoto analetwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani