Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME, MCHEPUKO WAGOMBEA MTOTO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Makubwa! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mke wa mtu aliyekuwa akiishi ukweni na mumewe wa ndoa, Bahati Ramadhani, amenusurika kuuawa na ndugu wa mumewe wakiwemo mawifi na wakwe zake baada ya kudaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko wake na kujikuta wakigombea mtoto. Mwanamke, Bahati Ramadhani anayeidaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko. Tukio hilo la kushangaza lililojaza kadamnasi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MKE, MCHEPUKO WAGOMBEA MAITI

Mke wa marehemu, Anna. Dustan Shekidele, Moro Kha! Mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Bella aliyedaiwa kuwa ‘mchepuko’ wa mwanaume aitwaye Lugano aliyefariki dunia wiki iliyopita, alinusurika kipigo baada ya kuvamia msibani akigombea maiti na mke wa ndoa. Tukio hilo la kushangaza lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri wiki iliyopita nyumbani kwa marehemu huyo maeneo ya Kota za Chuo Kikuu Cha Kilimo Cha Sokoine (Sua)...

 

10 years ago

GPL

MUME WA MTU APIGA PICHA ZA UTUPU NA MCHEPUKO!

Deogratius mongela
KALOLI Dawa ambaye ni mume wa mtu, amedaiwa kujipiga picha za utupu akiwa na mchepuko wake uliofahamika kwa jina moja la Irene kisha kusambaa mitandaoni.Picha za wawili hao wenyeji wa Wilaya ya Lamadi, mkoani Simiyu zimedaiwa kuvuja mara baada ya rafiki wa Irene kuziiba kwenye ‘laptop’ ya Kaloli na kuzisambaza mtandaoni. mume wa mtu huyo akiwa na mchepuko. Imedaiwa kuwa rafiki wa Irene ambaye...

 

10 years ago

GPL

MUME ATOROSHA MTOTO WA KAMBO

Stori: Haruni Sanchawa
MTU mmoja aliyetambulika kwa jina la Abdikadiri Opapa  anasakwa  na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Temeke baada ya kumtorosha mtoto wa kambo na kumtishia maisha mke wake. Abdikadiri Opapa akiwa na Machunda Thomas. Tukio hilo lilitokea hivi karibuni baada ya wanandoa hao kuhitilafiana na mwanaume huyo kumuiba mtoto wa kambo aitwaye Machunda Thomas (11),  aliyemkuta kwa mkewe huyo na kwenda...

 

9 years ago

GPL

IYOBO AKUBALI KUMUACHIA MTOTO MUME WA AUNT

Shani Ramadhani
MAKUBWA! Dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo amekubali kuruhusu mtoto aliyezaa na mwigizaji Aunt Ezekiel achukuliwe na mume wa mwigizaji huyo, Sunday Demonte aliyeko jijini Abu Dhabi akitumikia kifungo cha msala wa madawa ya kulevya. Dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moze Iyobo akiwa na mzazi mwenzie  Aunt Ezekiel. Iyobo ametoa kauli hiyo mara baada ya Sunday ambaye imeelezwa kuwa anaweza...

 

9 years ago

GPL

MUME AMTETEA JACK WA CHUZI KUKOSA MTOTO

Stori: Imelda Mtema MASKINI! Mume wa mwigizaji wa Bongo Movies, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, Gadner Dibibi amewataka watu wanaomsema mkewe huyo kuwa hapati mtoto, waache kwani wanajisumbua bure suala hilo ni la Mwenyezi Mungu. Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, akiwa na mumewe Gadner Dibibi. Akizungumza na gazeti hili, Dibibi alisema alipomuoa Jack siyo kwamba alikuwa akifi kiria mtoto ila alijua mtoto analetwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Mke, mume kusota kwa kuozesha mtoto

MKE na Mume wanaotuhumiwa kumuoza binti wa miaka 10 jana walifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma Mjini huku Mahakama ikifunga dhamana yao hadi kesi hiyo itakapomalizika.

 

11 years ago

GPL

UGOMVI WA KIMAPENZI WAPELEKEA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO IRINGA

Mwenyekiti wa mtaa wa pangani kata ya Makorongoni mjini Iringa Salum Kibaya akiutazama mwili wa mtoto Raymond Ben Mangungu (2) aliyeuwawa kwa kukabwa shingo na baba wa kambo wakati wa ugomvi wa kimapenzi kati ya mwanaume huyo na mama wa mtoto huyo usiku wa leo. Askari  polisi akitazama mwili wa mtoto  huyo. Hali  ilivyokutwa ndani ya chumba  hicho  baada ya  tukio. Wananchi wa Makorongini wakimtazama...

 

10 years ago

GPL

HEEE! MUME AMSHTAKI MKEWE KWA WIZI WA MTOTO WAO

KIOJA! Jalada la kesi namba MAG/RB/8329/2014- WIZI kwenye Kituo cha Polisi cha Magomeni, Dar, limefunguliwa na mwanaume aitwaye Rashidi akimshitaki mkewe, Fatuma Ally akimtuhumu kwa wizi wa mwanaye Zainabu Rashidi aliyemwandikisha jina la mwanaume mwingine aliyetajwa kwa jina la Paulo Mlela. Bw. Rashidi anayemshitaki mkewe, Fatuma Ally kwa wizi wa mwanaye Zainabu Rashidi. Kwa mujibu wa Rashidi anayeishi na familia yake maeneo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani