Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MUME WA MTU APIGA PICHA ZA UTUPU NA MCHEPUKO!

Deogratius mongela
KALOLI Dawa ambaye ni mume wa mtu, amedaiwa kujipiga picha za utupu akiwa na mchepuko wake uliofahamika kwa jina moja la Irene kisha kusambaa mitandaoni.Picha za wawili hao wenyeji wa Wilaya ya Lamadi, mkoani Simiyu zimedaiwa kuvuja mara baada ya rafiki wa Irene kuziiba kwenye ‘laptop’ ya Kaloli na kuzisambaza mtandaoni. mume wa mtu huyo akiwa na mchepuko. Imedaiwa kuwa rafiki wa Irene ambaye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Picha: Khloe Kardashian naye apiga picha ya utupu kwenye cover la kitabu chake ‘Strong Looks Better Naked’ (18+)

Picha za utupu kwaajili ya majarida imekuwa ni kama fashion kwa mastaa wengi wa Marakeni, ambao hawaoni shida kupose utupu mbele ya camera na picha hizo kuja kuonwa na ulimwengu mzima. Style ya picha za bila nguo pia imeendelea kutawala kwenye familia ya The Kardashians. Mdogo wake na Kim Kardashian, Khloe anakuja na kitabu chake […]

 

10 years ago

GPL

KAMA MKE NA MUME WANAPIGANA PICHA ZA UTUPU, WAPENZI JE?

Mapenzi ya sasa yamejaa sarakasi nyingi sana, kwa yule aliyebahatika kuingia kwenye uhusiano anatakiwa kuwa makini kuhakikisha mapenzi hayamtibulii maisha yake.Yapo mambo mengi ya kuwa nayo makini, changamoto kubwa na ya msingi ambayo wengi tunakumbana nayo ni uhakika kama kweli wanaodai wanatupenda wanamaanisha au wana zuga? Kwamba yule anayesema anakupenda ukimpasua kwenye moyo wake wewe utakuwa ndiye uliyechukua nafasi? Wengi...

 

10 years ago

GPL

DENTI APIGA ZA UTUPU GESTI!

Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela
AIBU ilioje! Denti wa chuo kimoja jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Martha, amepiga picha akiwa mtupu katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo Tabata, ambako alikwenda akiwa na nguo za shule, tukio linalodaiwa kutokea hivi karibuni. Denti wa chuo anayefahamika kwa jina moja la Martha akiwa mtupu kitandani. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, picha hizo ziliwekwa katika...

 

10 years ago

GPL

MUME, MCHEPUKO WAGOMBEA MTOTO

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Makubwa! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mke wa mtu aliyekuwa akiishi ukweni na mumewe wa ndoa, Bahati Ramadhani, amenusurika kuuawa na ndugu wa mumewe wakiwemo mawifi na wakwe zake baada ya kudaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko wake na kujikuta wakigombea mtoto. Mwanamke, Bahati Ramadhani anayeidaiwa kumgonganisha mumewe na mchepuko. Tukio hilo la kushangaza lililojaza kadamnasi...

 

10 years ago

GPL

SABBY ANGEL APIGA ZA NUSU UTUPU

MSANII wa filamu na muziki, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amepiga picha zinazomuacha sehemu kubwa ya mwili wake wazi (nusu utupu) huku wengine wakimfananisha na Mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With The Kardashians, Kim Kardashian.  ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1PzPLKK   

 

11 years ago

GPL

MY GOD! MKE WA MTU AMWAFGIWA MAHARAGE YA MOTO, KISA NI MUME WA MTU

Stori:  Dustan Shekidele, Morogoro My God! Mke wa mtu, Mwajuma Prima amelazwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro baada ya kumwagiwa mwilini sufuria la maharage yalitokuwa yakichemka jikoni, kisa kupeleka maneno ya umbeya kwa mume wa mtu. Mke wa mtu, Mwajuma Prima akiwa Hospitali ya Mkoa wa Morogoro. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri juzikati majira ya saa 12:00 jioni ambapo mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Fatuma ndiye...

 

11 years ago

GPL

MUME WA MTU AFA AKIWA NA MKE WA MTU

NI gumzo la aina yake ndani ya mji wa Kibaha mkoani Pwani ambapo mume wa mtu aliyejulikana kwa jina la Vedasto Ager (43) amefariki dunia baada ya kupata ajali ya kugongwa na gari aina ya Fuso akiwa amempakiza mke wa mtu kwenye pikipiki. Mwili wa marehemu Vedasto Ager ukiwa kwenye jeneza tayari kwa kuagwa. Kifo cha Vedasto kilichotokea Aprili 6, mwaka huu kimeacha maswali kibao kutokana na muda
wa tukio hilo kuwa usiku wa saa...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Amber Rose ashare picha yake ya utupu Instagram (18+)

Wakati mastaa wengine wanahaha baada ya picha zao za utupu kuvujishwa mtandao bila ridhaa zao, stripper wa zamani na mke wa rapper Wiz Khalifa, Amber Rose ameamua kutowasubiri hackers wafanye mambo, kwa kuamua kuvujisha mwenyewe picha yake ya utupu kupitia akaunti yake ya Instagram. Amber ambaye ni mama wa mtoto mmoja alishare picha hiyo na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani